Mbilia Bel-Nadina(Lyrics)

Mbilia Bel-Nadina(Lyrics)

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,639
Jua ni moto
Tena ni mwangaza ya dunia
Jua, maji, mwezi, nyota, upepo na udongo
Ni uzima wa binadamu
Nadina yooo
Nadina yoyo
Nadina yooo
Nadina yoyo


Tuombe mungu baba yoyo
Atuhurumie dhambi zetu mama
Hata uko mwenye dhambi rudisha roho nyuma
Hata we ni wa shetani jua yuu alikuumba
Tumsifu mungu baba ee ee
Hata mara moja ujuma
Hata uko mwenye dhambi rudisha roho nyuma
Hata we ni wa shetani jua yuu alikuumba
Tumsifu mungu baba ee ee
Hata mara moja ujuma
Samaki nyama, majani vidudu
Au dege ni uzima wa binadamu
Vinyanga udongo
Kuchoma majani

Au vyote unapenda ee
Havi semiki
Vinyanga udongo
Kuchoma majani
Au vyote unapenda ee
Havi semiki Nadina yooo

Nadina yoyo
Nadina yooo
Nadina yoyo


Tuombe mungu baba yoyo
Atuhurumie dhambi zetu mama
Hata uko mwenye dhambi rudisha roho nyuma
Hata we ni wa shetani jua yuu alikuumba
Tumsifu mungu baba ee ee
Hata mara moja ujuma
Hata uko mwenye dhambi rudisha roho nyuma
Hata we ni wa shetani jua yuu alikuumba
Tumsifu mungu baba ee ee Hata mara moja ujuma
Samaki nyama, majani vidudu

Au dege ni uzima wa binadamu
Vinyanga udongo Kuchoma majani
Au vyote unapenda ee Havi semiki
Vinyanga udongo
Kuchoma majani
Au vyote unapenda ee
Havi semiki Nadina yo
Nadina mama
Rudisha mwili na roho nyuma mama
Mimi fasi niko hoi inagonga


Yee yee oh
Nadina yee yee
Unipe mapenzi yako yote ye yee
Yee yee oh
Nadina yee yee
Oh Nadina bibi ee



 
Back
Top Bottom