Mbezi Mwisho yapata round about

Kweli kabisa mkuu, Umasikini ni kitu kibaya sana. Inafikia kipindi mtu anawaza mambo ya miaka miwili badala kuwaza long term plans. Mfano daraja la wavuka kwa miguu pale Buguruni, hata sielewi maana ake nini pale
 
Kama kuna memba JF anayeishi maeneo ya Mbezi mwisho naomba iniambie kama hii bomoabomoa imeiacha hospital ya Kipasika.
Asante sana kwa msaada wako
 
Kama kuna memba JF anayeishi maeneo ya Mbezi mwisho naomba iniambie kama hii bomoabomoa imeiacha hospital ya Kipasika.
Asante sana kwa msaada wako

Mkuu hospitali ya kipasika imevunjwa imehamia maduka mapya! Nimeona tangazo limeandikwa juu ya kifusi cha iliyokuwa hospitali!
 
Aisee kumbe mwaka huu watz tumefikia hatua yakushangilia eti kujengwa kwa round about?
Mkuu unashanga round about??
Watu wameshangilia lifti ya kwanza mbeya hadi mkuu wa mkoa kaenda kushuhudia na mpaka siku ile ikawa mapunziko mkoa mzima na aniversary yake inakaribia.
 
Mhh yaleyale unakaa ubungo kujiona kama ukoo masaki hebu tufanye yale ambaye Jf inafanya iwe tofauti na mitandao mingine, tuikumbushe serikali kujenga barabara na mambo mengine ya muhimu.

Sijui ubungo ipoo juu, aahh mbezi ipoo juu na makongo mtasema ipo chini.
 
Yaani kila siku najiuliza Round about ya nini sehemu yenye magari mengi kama ile?, shida ya Tanzania ni hiyo yankujenganleo baada ya miaka mitano unavunja,
Bongo kila kitu cha muda tu pale dampo wameambiwa wasijenge nyumba za kudumu sijui mpaka lini!!! , soko la kariakoo ni la muda linatakiwa kuhama , Ndege zinanunuliwa ndani ya miezi sita barabara zinasubir mwaka wa fedha ......
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…