Mbezi Beach hakuna umeme toka asubuhi

Mbezi Beach hakuna umeme toka asubuhi

Izato

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2019
Posts
5,084
Reaction score
11,005
Leo Alhamisi tarehe 26-08-2021 toka saa 03:00 asubuhi umeme umekatika maeneo ya Mbezi Beach na maeneo mengine ya jirani. Hakuna taarifa yoyote iliyotolewa pengine zaidi ya ile tuliyoizoea siku zote ya kusema kuwa kuna zoezi endelevu la kubadilisha nguzo za umeme.

Lazima tuseme ukweli ya kwamba katika siku za utawala wa JPM shirika la umeme lilikuwa na utaratibu wenye kueleweka pindi umeme ukikatika. Angalau wadau wote wa umeme walipewa taarifa kuhusu chanzo cha tatizo ambalo limepelekea kukosena kwa nishati hii muhimu.

Sasa tunashuhudia kamchezo kale ka zamani kakirudi taratibu. Hakuna msemaji wa Tanesco ambaye anasukumwa kutoa taarifa pale tatizo kama hili linapotokea.

Ona sasa pamoja na uchovu wote wa kazi, pamoja na hamu ya kuangalia tamthilia ya KULFI sasa ni giza tororo huku wahusika wameuchuna
 
Umeme umerudi lakini ukiwa "too late" kwa matukio fulani muhimu, na kisha ukakatika na kurudi tena. Waungwana sisi wana Kawe hatupaswi kuadhibiwa kwa hisia zitokanazo na mihemuko yenye uelekeo wa misimamo ya mbunge wetu.

Huku kwetu suala la chanjo bado ni suala la hiyari. Bado tunamuona Askofu Gwajima kasimama imara ktk nafasi yake kama mchungaji wa roho za waumini wake.
 
Mbezi beach gani..?

Mimi nipo karibu na kwa Apson hatujawahi kukatikiwa umeme.
 
Hayo yote yangewekwa vizuri na katiba mpya.
 
Mbezi beach kumevamiwa.

Wewe mleta mada hukutakiwa kuishi Mbezi beach yaani hata ka standby generator huna? Hama hamia Buza Kwampange huko Mbezi Beach sio saizi yako
 
Ka kulfi kenyewe kanaongea kama kamekaririshwa

 
Leo Alhamisi tarehe 26-08-2021 toka saa 03:00 asubuhi umeme umekatika maeneo ya Mbezi Beach na maeneo mengine ya jirani. Hakuna taarifa yoyote iliyotolewa pengine zaidi ya ile tuliyoizoea siku zote ya kusema kuwa kuna zoezi endelevu la kubadilisha nguzo za umeme.

Lazima tuseme ukweli ya kwamba katika siku za utawala wa JPM shirika la umeme lilikuwa na utaratibu wenye kueleweka pindi umeme ukikatika. Angalau wadau wote wa umeme walipewa taarifa kuhusu chanzo cha tatizo ambalo limepelekea kukosena kwa nishati hii muhimu.

Sasa tunashuhudia kamchezo kale ka zamani kakirudi taratibu. Hakuna msemaji wa Tanesco ambaye anasukumwa kutoa taarifa pale tatizo kama hili linapotokea.

Ona sasa pamoja na uchovu wote wa kazi, pamoja na hamu ya kuangalia tamthilia ya KULFI sasa ni giza tororo huku wahusika wameuchuna
Jana kulikuwa na tatizo eneo husika ambalo tulifanikiwa kulitatua na wateja wanafurahia umeme.Tunawaomba radhi sana wapendwa wateja wetu
 
Leo Alhamisi tarehe 26-08-2021 toka saa 03:00 asubuhi umeme umekatika maeneo ya Mbezi Beach na maeneo mengine ya jirani. Hakuna taarifa yoyote iliyotolewa pengine zaidi ya ile tuliyoizoea siku zote ya kusema kuwa kuna zoezi endelevu la kubadilisha nguzo za umeme.

Lazima tuseme ukweli ya kwamba katika siku za utawala wa JPM shirika la umeme lilikuwa na utaratibu wenye kueleweka pindi umeme ukikatika. Angalau wadau wote wa umeme walipewa taarifa kuhusu chanzo cha tatizo ambalo limepelekea kukosena kwa nishati hii muhimu.

Sasa tunashuhudia kamchezo kale ka zamani kakirudi taratibu. Hakuna msemaji wa Tanesco ambaye anasukumwa kutoa taarifa pale tatizo kama hili linapotokea.

Ona sasa pamoja na uchovu wote wa kazi, pamoja na hamu ya kuangalia tamthilia ya KULFI sasa ni giza tororo huku wahusika wameuchuna
Huku Mbagala upo 24/7
 
Jana kulikuwa na tatizo eneo husika ambalo tulifanikiwa kulitatua na wateja wanafurahia umeme.Tunawaomba radhi sana wapendwa wateja wetu
Kuna ugumu gani wa kutoa taarifa kabla ya malalamiko? Au kwakuwa huko mnatumia collective accountability basi hakuna anaejali?

Na ile call center yenu ni bora mkaitafutia kazi nyingine, labda kupigia simu familia za staff wenu kuwajulia hali na kuwasaidia endapo wanahitaji logistics zozote, SIO kwa lengo la kuwasiliana na wateja.

Swali la kizushi, kwenye ile STAFF RATE, TOZO ya kizalendo inakatwaje?
 
Jana kulikuwa na tatizo eneo husika ambalo tulifanikiwa kulitatua na wateja wanafurahia umeme.Tunawaomba radhi sana wapendwa wateja wetu
Huu ndo uungwana mkuu. Kuna watu walikuwa washaingiza siasa kwenye hili!!!
 
Leo Alhamisi tarehe 26-08-2021 toka saa 03:00 asubuhi umeme umekatika maeneo ya Mbezi Beach na maeneo mengine ya jirani. Hakuna taarifa yoyote iliyotolewa pengine zaidi ya ile tuliyoizoea siku zote ya kusema kuwa kuna zoezi endelevu la kubadilisha nguzo za umeme.

Lazima tuseme ukweli ya kwamba katika siku za utawala wa JPM shirika la umeme lilikuwa na utaratibu wenye kueleweka pindi umeme ukikatika. Angalau wadau wote wa umeme walipewa taarifa kuhusu chanzo cha tatizo ambalo limepelekea kukosena kwa nishati hii muhimu.

Sasa tunashuhudia kamchezo kale ka zamani kakirudi taratibu. Hakuna msemaji wa Tanesco ambaye anasukumwa kutoa taarifa pale tatizo kama hili linapotokea.

Ona sasa pamoja na uchovu wote wa kazi, pamoja na hamu ya kuangalia tamthilia ya KULFI sasa ni giza tororo huku wahusika wameuchuna
Kura zenu nyingi Uchaguzi Mkuu wa 2020 mlimpa Mbelgiji Mweusi au Mkemia Mbishi aliyetwaliwa ghafla?
 
Jana kulikuwa na tatizo eneo husika ambalo tulifanikiwa kulitatua na wateja wanafurahia umeme.Tunawaomba radhi sana wapendwa wateja wetu
Nashukuru kwa kupata majibu haya. Huu ni ungwana kwa kuwa nishati ya umeme ni muhimu sana ili maisha yapate kuwa ya kawaida.

Ni kweli umeme ulirudi yapata saa mbili na nusu hivi usiku. TANESCO nawatakia kila la heri katika kuboresha zaidi huduma zenu.
 
Jana kulikuwa na tatizo eneo husika ambalo tulifanikiwa kulitatua na wateja wanafurahia umeme.Tunawaomba radhi sana wapendwa wateja wetu
Kuna tatizo gani eneo la Kingorwila - Morogoro tangu tarehe 23 August hadi leo 27 August hadi muda huu hakuna umeme?
 
Nashukuru kwa kupata majibu haya. Huu ni ungwana kwa kuwa nishati ya umeme ni muhimu sana ili maisha yapate kuwa ya kawaida.

Ni kweli umeme ulirudi yapata saa mbili na nusu hivi usiku. TANESCO nawatakia kila la heri katika kuboresha zaidi huduma zenu.
Sasa baada ya kukujibu ndo ungewauliza wanakataje bla taarfa? Ila chakushangaza umebaki kushukuru kwnye majukum yao,, next time utakatiwa wiki nzma af watakuja kusuruhisha humu JF af mambo yataisha, usiwe msahaulifu wa maumiv kimaendleo TANESCO sio baba zako
 
Back
Top Bottom