voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Lhttps://youtu.be/bGhJUwcaSCE?si=iGsZTB8KoqJ3pnpx
Kwa mtindo huu wa serikali kushupaza shingo dhidi ya Wananchi na wapiga kura wake!
Kwa mtindo huu wa Chama kutekwa na kufanyiwa Mapinduzi na kundi la wateule wachache" almaarufu CCM ina wenyewe" na kuendeleza mfumo wa makundi ya mtandao (Cartel)ndani ya CCM.
Kwa masimango yale ya kina Makamba mkubwa.kwamba "wazuri hawafi."
Kwa tabia hii ya kupambana na wasiokuwepo,huku mkijitwika legacy yao ..mfano halisi ikiwa ni "Ikulu ya Chamwino".
Kwa CCM hii ambayo mwana CCM anayetoa maoni kinzani na wenye lao jambo ndani ya chama.
Anaishia ku- Ndugai-wa au kutengwa na kunyimwa au kuzuiwa kugombea U-NEC. mifano hai ikiwa ni Job Ndugai na Luhaga Mpina.
CCM ambayo imefikia hatua ya kukosa hata nafasi nyeti kama Katibu Mkuu.
Iliyokosa hata kijana shupavu wa kuusimamia idara ya uenezi wa siasa ndani ya chama.
Na badala yake inabaki kutegemea ma - Chawa wa viongozi.
Wenye tamaa kuliko ile ya fisi wa mwituni.
Kwa serikali hii ambayo imeunda mtandao fisadi "State Capture" ndani yake kwa ushirika na Ma-taikuni wa kiraia.
"Tegemeeni kadi kuendelea kurudishwa kama mbegu za pamba toka kwa wananchi."
Huko Mbeya waneonyesha mfano tu.na sasa itakuwa ndiyo fasheni ya nchi.
Waraka wa TEC haudhihakiwi kamwe.
Kwa mtindo huu wa serikali kushupaza shingo dhidi ya Wananchi na wapiga kura wake!
Kwa mtindo huu wa Chama kutekwa na kufanyiwa Mapinduzi na kundi la wateule wachache" almaarufu CCM ina wenyewe" na kuendeleza mfumo wa makundi ya mtandao (Cartel)ndani ya CCM.
Kwa masimango yale ya kina Makamba mkubwa.kwamba "wazuri hawafi."
Kwa tabia hii ya kupambana na wasiokuwepo,huku mkijitwika legacy yao ..mfano halisi ikiwa ni "Ikulu ya Chamwino".
Kwa CCM hii ambayo mwana CCM anayetoa maoni kinzani na wenye lao jambo ndani ya chama.
Anaishia ku- Ndugai-wa au kutengwa na kunyimwa au kuzuiwa kugombea U-NEC. mifano hai ikiwa ni Job Ndugai na Luhaga Mpina.
CCM ambayo imefikia hatua ya kukosa hata nafasi nyeti kama Katibu Mkuu.
Iliyokosa hata kijana shupavu wa kuusimamia idara ya uenezi wa siasa ndani ya chama.
Na badala yake inabaki kutegemea ma - Chawa wa viongozi.
Wenye tamaa kuliko ile ya fisi wa mwituni.
Kwa serikali hii ambayo imeunda mtandao fisadi "State Capture" ndani yake kwa ushirika na Ma-taikuni wa kiraia.
"Tegemeeni kadi kuendelea kurudishwa kama mbegu za pamba toka kwa wananchi."
Huko Mbeya waneonyesha mfano tu.na sasa itakuwa ndiyo fasheni ya nchi.
Waraka wa TEC haudhihakiwi kamwe.