minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Lagossa acha uongo mkuu Mbeya wahoji, Mbeya Nina ?
Hiyo itakuwa mbeya yake binafsi si Mbeya mkoa kwa nini hilo Gazeti linawasingizia Uongo wakazi wa MBEYA.
Lagossa acha uongo mkuu Mbeya wahoji, Mbeya Nina ?
Babu seya ni mojawapo ya wengi waliokosa Haki ambao wapo magerezani, mtashuhudia maajabu yakiwemo ya Balali kurejeshwa Tanzania, Magufuli kudaiwa zile billion 251 alizolipa makandarasi hewa pale wizara ya Ujenzi pia ukawa wataidai chenji ya vivuko Rada, vivuko, mabehewa Feki, sukari, bomba la Gesi, mgodi wa buzwagi, mgodi wa meremeta, escrow, EPA, chenji iliyobaki baada ya bunge la katiba iliyokataliwa nk
Mbongo ngafu
Umehama CCM mkuu....ile avatar yako ya mchina na kofia ya ccm ilikuwa makini sana...???
wewe wasema..Wagombea wa Chadema 99% ni Wakristo.Kweli hii ni Christian Democratic Movement
Hapo sasa umeniacha mbali. Nakuja na mguuNaloli mbombo ngafu nkamu
jibuni hoja,kuachiwa babu seya sawasawa?
Ukitaka kukwazana na hawa jamaa ongea ukweli unaowahusu,lazima utatukanwa tu. Yaani wao hujiona ni malaika,kila wakifanyacho ni kizuri. Ukiongea baya lao watakwambia unatumiwa,duuuuuh........!!.
Ukitaka kukwazana na hawa jamaa ongea ukweli unaowahusu,lazima utatukanwa tu. Yaani wao hujiona ni malaika,kila wakifanyacho ni kizuri. Ukiongea baya lao watakwambia unatumiwa,duuuuuh........!!.
Watu wa Mbeya walishajitambua, hawadanganyiki kama huamini jaribu kucheki na mheshimiwa Weston Zambi.