Mbeya wadada fanyeni kazi

Mbeya wadada fanyeni kazi

Dim Ray

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2019
Posts
320
Reaction score
249
Habari za alasiri wana JF tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai. Tujilinde na corona.

Niende moja kwa moja kwenye mada, siku ya leo mida ya saa 9 alasiri nilikuwa narejea nyumbani, nilikuwa naelekea stendi ya daladala, ghafla nikasikia mtu akiniita weee kaka kugeuka nikaona mabinti wawili wamekaa pembezoni mwa barabara mmoja ananyonyesha mwingine yupo tu, lakini kabla hawajaongea chochote kuna mtu mwingine alikuwa ashatukaribia mdada yule ambaye hakuwa na mtoto akasema "tusaidie hela ya nauli" hapo ndo nikagutuka nami nikasema sina, wako vizuri physically, mentally hata mavazi waliyovaa sijui kwanini walikuwa wanaomba hela.

Unaweza sema walikuwa na matatizo lakini siku hii hii ya leo nikiwa maeneo ya Posta hapa Mbeya mjini kuna mdada wa makamu aliniambia kaka samahani naomba mia nikamjibu sina, hii ni kwakuwa nilikuwa naenda kulipia benki na nilikuwa na nauli na pesa ya kulipia benki tu, na hii imetokea mida ya saa 5 asubuhi.

Kiukweli tabia ya kuomba omba hela ni risk unaweza ukakutana na watu wenye roho mbaya wakakufanyia hata unyama pili ni kuji "disrespect" .

Hao mabinti wawili niliowataja mwanzo nilikutana nao barabara inayotokea Iyunga ikielekea Coca-cola karibu na chuo cha MUST.
 
Halafu wanawake wa Mbeya ni wanene wanene Mungu aliwapendelea kweli kweli

Njaa Kali bana
 
Wengine wanakua chuma ulete hao,ukiwapa mia kwao zinaongezeka sifuri tatu
 
Habari za alasiri wana JF tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai. Tujilinde na corona.

Niende moja kwa moja kwenye mada, siku ya leo mida ya saa 9 alasiri nilikuwa narejea nyumbani, nilikuwa naelekea stendi ya daladala, ghafla nikasikia mtu akiniita weee kaka kugeuka nikaona mabinti wawili wamekaa pembezoni mwa barabara mmoja ananyonyesha mwingine yupo tu, lakini kabla hawajaongea chochote kuna mtu mwingine alikuwa ashatukaribia mdada yule ambaye hakuwa na mtoto akasema "tusaidie hela ya nauli" hapo ndo nikagutuka nami nikasema sina, wako vizuri physically,mentally hata mavazi waliyovaa sijui kwanini walikuwa wanaomba hela.

Unaweza sema walikuwa na matatizo lakini siku hii hii ya leo nikiwa maeneo ya Posta hapa mbeya mjini kuna mdada wa makamu aliniambia kaka samahani naomba mia nikamjibu sina, hii ni kwakuwa nilikuwa naenda kulipia benki nanilikuwa na nauli na pesa ya kulipia benki tuu na hii imetokea mida ya saa 5 asubuhi.

Kiukweli tabia ya kuomba omba hela ni risk unaweza ukakutana na watu wenye roho mbaya wakakufanyia hata unyama pili ni kuji "disrespect" .

Hao mabinti wawili niliowataja mwanzo nilikutana nao barabara inayotokea Iyunga ikielekea coca-cola karibu na chuo cha must.
Watu wanakuomba hela unawanyiwa kama unayo unawapa tu acha ukoloni.....
alafu hizo ni dalili za dhiki na roho mbaya
 
Usitufundishe uchoyo hiyo siyo desturi yetu, kama ulishindwa kuwasaidia basi tulia na roho yako mbaya siku yakikukuta nawe uone km utampata wa kukusaidia.
 
Habari za alasiri wana JF tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai. Tujilinde na corona.

Niende moja kwa moja kwenye mada, siku ya leo mida ya saa 9 alasiri nilikuwa narejea nyumbani, nilikuwa naelekea stendi ya daladala, ghafla nikasikia mtu akiniita weee kaka kugeuka nikaona mabinti wawili wamekaa pembezoni mwa barabara mmoja ananyonyesha mwingine yupo tu, lakini kabla hawajaongea chochote kuna mtu mwingine alikuwa ashatukaribia mdada yule ambaye hakuwa na mtoto akasema "tusaidie hela ya nauli" hapo ndo nikagutuka nami nikasema sina, wako vizuri physically, mentally hata mavazi waliyovaa sijui kwanini walikuwa wanaomba hela.

Unaweza sema walikuwa na matatizo lakini siku hii hii ya leo nikiwa maeneo ya Posta hapa Mbeya mjini kuna mdada wa makamu aliniambia kaka samahani naomba mia nikamjibu sina, hii ni kwakuwa nilikuwa naenda kulipia benki na nilikuwa na nauli na pesa ya kulipia benki tu, na hii imetokea mida ya saa 5 asubuhi.

Kiukweli tabia ya kuomba omba hela ni risk unaweza ukakutana na watu wenye roho mbaya wakakufanyia hata unyama pili ni kuji "disrespect" .

Hao mabinti wawili niliowataja mwanzo nilikutana nao barabara inayotokea Iyunga ikielekea Coca-cola karibu na chuo cha MUST.
Mbona sio issue unawasaidia tu! sababu umeombwa hukulazimishwa huenda kweli wana matatizo na vilevile huwezi "generalize" matukio mawili kuwa ndiyo tabia ya wanawake zaidi ya laki moja
 
Anzisha uzi mwingine 'wanawake wa dar acheni kujiuza'
 
kuombwa mia moja unakuja kuanzisha uzi, kwani kupendeza ndio kutokuwa na shida? viben ten mnakwama wapi?
 
Habari za alasiri wana JF tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai. Tujilinde na corona.

Niende moja kwa moja kwenye mada, siku ya leo mida ya saa 9 alasiri nilikuwa narejea nyumbani, nilikuwa naelekea stendi ya daladala, ghafla nikasikia mtu akiniita weee kaka kugeuka nikaona mabinti wawili wamekaa pembezoni mwa barabara mmoja ananyonyesha mwingine yupo tu, lakini kabla hawajaongea chochote kuna mtu mwingine alikuwa ashatukaribia mdada yule ambaye hakuwa na mtoto akasema "tusaidie hela ya nauli" hapo ndo nikagutuka nami nikasema sina, wako vizuri physically, mentally hata mavazi waliyovaa sijui kwanini walikuwa wanaomba hela.

Unaweza sema walikuwa na matatizo lakini siku hii hii ya leo nikiwa maeneo ya Posta hapa Mbeya mjini kuna mdada wa makamu aliniambia kaka samahani naomba mia nikamjibu sina, hii ni kwakuwa nilikuwa naenda kulipia benki na nilikuwa na nauli na pesa ya kulipia benki tu, na hii imetokea mida ya saa 5 asubuhi.

Kiukweli tabia ya kuomba omba hela ni risk unaweza ukakutana na watu wenye roho mbaya wakakufanyia hata unyama pili ni kuji "disrespect" .

Hao mabinti wawili niliowataja mwanzo nilikutana nao barabara inayotokea Iyunga ikielekea Coca-cola karibu na chuo cha MUST.

Yani hiyo Ndiyo sababu ya kuwaambia wadada wote wa Mbeya wafanye kazi? Inabidi uwatake Radhi....
 
Habari za alasiri wana JF tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai. Tujilinde na corona.

Niende moja kwa moja kwenye mada, siku ya leo mida ya saa 9 alasiri nilikuwa narejea nyumbani, nilikuwa naelekea stendi ya daladala, ghafla nikasikia mtu akiniita weee kaka kugeuka nikaona mabinti wawili wamekaa pembezoni mwa barabara mmoja ananyonyesha mwingine yupo tu, lakini kabla hawajaongea chochote kuna mtu mwingine alikuwa ashatukaribia mdada yule ambaye hakuwa na mtoto akasema "tusaidie hela ya nauli" hapo ndo nikagutuka nami nikasema sina, wako vizuri physically, mentally hata mavazi waliyovaa sijui kwanini walikuwa wanaomba hela.

Unaweza sema walikuwa na matatizo lakini siku hii hii ya leo nikiwa maeneo ya Posta hapa Mbeya mjini kuna mdada wa makamu aliniambia kaka samahani naomba mia nikamjibu sina, hii ni kwakuwa nilikuwa naenda kulipia benki na nilikuwa na nauli na pesa ya kulipia benki tu, na hii imetokea mida ya saa 5 asubuhi.

Kiukweli tabia ya kuomba omba hela ni risk unaweza ukakutana na watu wenye roho mbaya wakakufanyia hata unyama pili ni kuji "disrespect" .

Hao mabinti wawili niliowataja mwanzo nilikutana nao barabara inayotokea Iyunga ikielekea Coca-cola karibu na chuo cha MUST.
Vipi, hukupenda kula tunda kimasihara?
 
Dah hii tabia nami Nishakutana nayo huko huko Mbeya, wadada kuomba nauli halafu mara zote wanakuwa wawili wawili, sidhani kama ni hali ya kawaida., maana mtu mwenye uhitaji utamuona tu, sasa hawa unakuta wapo vizuri tu halafu wanakuomba nauli? Kwani walikotoka hawakujua kuwa wanatakiwa warudi?

Omba Omba mwenye uhitaji utamuona tu, na huwa wanaonekana vilema na matatizo mengine mbali mbali kama magonjwa, sasa hawa sijui ni vipi! Au ndio chuma ulete kama alivyosema mdau hapo juu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom