Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,601
- 217,993
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mtukufu Juma Homela, amedai kwamba Kwenye Mkoa huo hakujawahi kuwa na wala hata sasa hakuna MALALAMIKO YOYOTE KUHUSU TOZO.
Amedai kwamba watu wa Mkoa huo hawana shida yoyote na Tozo , wanatoa tu na kwamba wanachojali ni ujenzi wa vituo vya afya na mambo mengine ya maendeleo .
Chanzo: EA TV
Amedai kwamba watu wa Mkoa huo hawana shida yoyote na Tozo , wanatoa tu na kwamba wanachojali ni ujenzi wa vituo vya afya na mambo mengine ya maendeleo .
Chanzo: EA TV