MBEYA: Ni wakati sasa mkapanda miti kuufunika mlima kawetere

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,987
9,956
Miaka ya 1997 kurudi nyuma Mlima Kawetere uliopo pembezoni mwa jiji la Mbeya ulikuwa umefunikwa na miti ya kupandwa 'pine forest' lakini hivi sasa safu hii ya milima imesalia haina uoto kabisa...ni sehemu ndogo ndio imepandwa miti.

Natoa wito Mali Asili Mbeya pandeni miti kwa upya kwenye safu hizi ili kunusuru mazingira na kuboresha hali ya hewa ya jiji la Mbeya. Please reforest Kawetere hill wholly not in part.

By Kajunjumele via N'yadikwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha please
Miaka ya 1997 kurudi nyuma Mlima Kawetere uliopo pembezoni mwa jiji la Mbeya ulikuwa umefunikwa na miti ya kupandwa 'pine forest' lakini hivi sasa safu hii ya milima imesalia haina uoto kabisa...ni sehemu ndogo ndio imepandwa miti.

Natoa wito Mali Asili Mbeya pandeni miti kwa upya kwenye safu hizi ili kunusuru mazingira na kuboresha hali ya hewa ya jiji la Mbeya. Please reforest Kawetere hill wholly not in part.

By Kajunjumele via N'yadikwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya 1997 kurudi nyuma Mlima Kawetere uliopo pembezoni mwa jiji la Mbeya ulikuwa umefunikwa na miti ya kupandwa 'pine forest' lakini hivi sasa safu hii ya milima imesalia haina uoto kabisa...ni sehemu ndogo ndio imepandwa miti.

Natoa wito Mali Asili Mbeya pandeni miti kwa upya kwenye safu hizi ili kunusuru mazingira na kuboresha hali ya hewa ya jiji la Mbeya. Please reforest Kawetere hill wholly not in part.

By Kajunjumele via N'yadikwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlima huu ulikuwa unapendeza sana na uliheshimiwa kutokana na gereza lililokuwepo hapo. Pia kutokana mlima kuwa ni ukuta wa bonde kuu la ufa, ulichangia sana jiji la Mbeya kupata mvua za kutosha kutokana na muda mwingi kufunikwa na mawingu.
He, mnajua Barbara iliyo juu kabisa Afrika kutoka usawa wa bahari uko hapo (highest road point in Africa from sea level), tumeshindwa kutumia kwa utalii. Miaka ya 60 tulikuwa na nyumba ya mbao iliyojengwa kwenye ukingo wa mlima upande wa bonde la Usangu na kufanya bonde kuu la ufa la Afrika kuonekana vizuri sana, nalo pia tumeshindwa kulitumia kwa utalii!
 
Mlima huu ulikuwa unapendeza sana na uliheshimiwa kutokana na gereza lililokuwepo hapo. Pia kutokana mlima kuwa ni ukuta wa bonde kuu la ufa, ulichangia sana jiji la Mbeya kupata mvua za kutosha kutokana na muda mwingi kufunikwa na mawingu.
He, mnajua Barbara iliyo juu kabisa Afrika kutoka usawa wa bahari uko hapo (highest road point in Africa from sea level), tumeshindwa kutumia kwa utalii. Miaka ya 60 tulikuwa na nyumba ya mbao iliyojengwa kwenye ukingo wa mlima upande wa bonde la Usangu na kufanya bonde kuu la ufa la Afrika kuonekana vizuri sana, nalo pia tumeshindwa kulitumia kwa utalii!
Ukipanda pale juu unapata scenic view nzuri ya jiji la Mbeya na pangefaa sana kama msitu ungefunika eneo lile lote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pandeni miti ya asili.Msipande ya kisasa .Kawetere huo mlima umesaidia familia nyingi mno .Wengi walikuwa wakiokota kuni kuziuza kwa matajiri wanunuzi wakubwa walikuwa walimu wa Shule za msingi..Shule za msingi wapewe Miche na eneo kila Shule wapande Ni zoezi la Muda mfupi tu.miti itakuwa imejaa mlima wote. Wapeni hiyo kazi au tenda shule za msingi
 
I think sio mbeya tu Bali nyanda za juu kote ipandwe misutu ya pine, Tanzania itakuwa kama Sweden vile.....
Hili wazo lako sikubaliani nalo
Tunaomba wizara ya Mazingira ihamasishe urejeshaji mazingira ya asili
Mazingira ya asili yakirudi ndege wa asili watarudi,wanyama wa asili watarudi mimea,majani na uoto wa asili utarudi.Na hali ya hewa ya asili itarudi.

Mojawapo ya kuhakikisha hivyo vinarudi ni kuhamasisha upandaji miti ya asili kwenye maeneo husika.

Ni aibu kuwa baada ya miaka 58 ya uhuru bado tuna vitalu vya miti ya kikoloni kama mitiulaya,mi-ashoki tree,miarobaini,mikaratusi nk miti ambayo hamna ndege yeyote hata wale wa hovyo kama kunguru,bundi au popo hawawezi weka hata kiota chao cha makazi na kuzaliana.

Miti hiyo ya kikoloni haifai kufanyiwa kampeni ya upandaji miti maeneo mbali mbali.Vyuo vyetu vya kilimo na wataalamu mbali mbali wahangaikie ukuzaji na uoteshaji miti ya asili na vitalu vya miti ya asili.Ni aibu mbele ya nyumba ya mtu hata ofisi ya serikali kuwa na mti wa kikoloni badala ya mti wa asili.Tukitaka ndege wa zamani warudi ,wanyama wa asili wa maeneo husika warudi lazima uoto wa asili urudi kuanzia majani ,miti nk . Ndipo wanyama,wadudu wa asili na hali ya hewa ya asili itarudi.

Tulitapeliwa Kama nchi operation panda miti ilitakiwa iwe operation panda miti ya asili sio hii miti ambayo hata ndege wanasusa hawawezi Jenga hata kiota.Kama nchi kama tunataka kuona wanyama,ndege na wadudu wa kale turudishe uoto wa asili.Hii miti migeni ya ajabu kuna milima ilikuwa na uyoga unaota baada ya kupanda hiyo miti kwenye milima uyoga hauoti tena pia hata mchwa wamemesusa maeneo yenye miti hiyo hawajengi vichuguu tena ambavyo vilikuwa vinatoa kumbi kumbi na waddu mbalimbali watamu kwa chakula.Ukikuta mlima umepandwa hii miti migeni unaukuta uko lifeless.Hauna wanyama,ndege,wadudu nk ambapo zamani walionekana ndege wengi wa rangi tofauti tofauti wakiruka ruka kwa vicheko vya furaha na raha toka tawi Moja hadi lingine wakitakana nk Sasa hivi milima iliyopandwa hiyo miti ya kigeni utafikiri umefiwa.Milima yetu tuirudishie miti ya asili.Kama nchi tumeshaumizwa kwenye hili tulirekebishe nchi irudi ilivyokuwa.Viumbe waliopotea watarudi Turudishe miti yetu.NGO za mazingira zivalie njuga swala hii.Kupanda kuwe kupanda miti ya asili ya eneo husika sio hii miti inayotufukuzia ndege wetu na wanyama wetu wa asili.Turudishe uoto wa asili

Pia wizara ihamasishe matumizi ya gesi ya kupikia vijijini na mijini.Bei ya gesi ipunguzwe na kodi ziondolewe ili kuwezesha watu wengi zaidi kutumia gesi ya kupikia kunusuru misitu na pia kuwezesha watanzania wengi kufaidi gesi yetu iliyogunduliwa.

Kampeni ya upandaji miti ya asili iendane na kampeni ya utumiaji wa gesi ya kupikia
 
Miti ya basil in mizuri
Hili wazo lako sikubaliani nalo
Tunaomba wizara ya Mazingira ihamasishe urejeshaji mazingira ya asili
Mazingira ya asili yakirudi ndege wa asili watarudi,wanyama wa asili watarudi mimea,majani na uoto wa asili utarudi.Na hali ya hewa ya asili itarudi.

Mojawapo ya kuhakikisha hivyo vinarudi ni kuhamasisha upandaji miti ya asili kwenye maeneo husika.

Ni aibu kuwa baada ya miaka 58 ya uhuru bado tuna vitalu vya miti ya kikoloni kama mitiulaya,mi-ashoki tree,miarobaini,mikaratusi nk miti ambayo hamna ndege yeyote hata wale wa hovyo kama kunguru,bundi au popo hawawezi weka hata kiota chao cha makazi na kuzaliana.

Miti hiyo ya kikoloni haifai kufanyiwa kampeni ya upandaji miti maeneo mbali mbali.Vyuo vyetu vya kilimo na wataalamu mbali mbali wahangaikie ukuzaji na uoteshaji miti ya asili na vitalu vya miti ya asili.Ni aibu mbele ya nyumba ya mtu hata ofisi ya serikali kuwa na mti wa kikoloni badala ya mti wa asili.Tukitaka ndege wa zamani warudi ,wanyama wa asili wa maeneo husika warudi lazima uoto wa asili urudi kuanzia majani ,miti nk . Ndipo wanyama,wadudu wa asili na hali ya hewa ya asili itarudi.

Tulitapeliwa Kama nchi operation panda miti ilitakiwa iwe operation panda miti ya asili sio hii miti ambayo hata ndege wanasusa hawawezi Jenga hata kiota.Kama nchi kama tunataka kuona wanyama,ndege na wadudu wa kale turudishe uoto wa asili.Hii miti migeni ya ajabu kuna milima ilikuwa na uyoga unaota baada ya kupanda hiyo miti kwenye milima uyoga hauoti tena pia hata mchwa wamemesusa maeneo yenye miti hiyo hawajengi vichuguu tena ambavyo vilikuwa vinatoa kumbi kumbi na waddu mbalimbali watamu kwa chakula.Ukikuta mlima umepandwa hii miti migeni unaukuta uko lifeless.Hauna wanyama,ndege,wadudu nk ambapo zamani walionekana ndege wengi wa rangi tofauti tofauti wakiruka ruka kwa vicheko vya furaha na raha toka tawi Moja hadi lingine wakitakana nk Sasa hivi milima iliyopandwa hiyo miti ya kigeni utafikiri umefiwa.Milima yetu tuirudishie miti ya asili.Kama nchi tumeshaumizwa kwenye hili tulirekebishe nchi irudi ilivyokuwa.Viumbe waliopotea watarudi Turudishe miti yetu.NGO za mazingira zivalie njuga swala hii.Kupanda kuwe kupanda miti ya asili ya eneo husika sio hii miti inayotufukuzia ndege wetu na wanyama wetu wa asili.Turudishe uoto wa asili

Pia wizara ihamasishe matumizi ya gesi ya kupikia vijijini na mijini.Bei ya gesi ipunguzwe na kodi ziondolewe ili kuwezesha watu wengi zaidi kutumia gesi ya kupikia kunusuru misitu na pia kuwezesha watanzania wengi kufaidi gesi yetu iliyogunduliwa.

Kampeni ya upandaji miti ya asili iendane na kampeni ya utumiaji wa gesi ya kupikia
,miti ya asili in mizuri ila ya kisasa inawahi kukomaa.Watu hawaitikii kupanda miti ya asili kwa sababu inachelewa kukomaa.Kizazi maslahi.
 
Hili wazo lako sikubaliani nalo
Tunaomba wizara ya Mazingira ihamasishe urejeshaji mazingira ya asili
Mazingira ya asili yakirudi ndege wa asili watarudi,wanyama wa asili watarudi mimea,majani na uoto wa asili utarudi.Na hali ya hewa ya asili itarudi.

Mojawapo ya kuhakikisha hivyo vinarudi ni kuhamasisha upandaji miti ya asili kwenye maeneo husika.

Ni aibu kuwa baada ya miaka 58 ya uhuru bado tuna vitalu vya miti ya kikoloni kama mitiulaya,mi-ashoki tree,miarobaini,mikaratusi nk miti ambayo hamna ndege yeyote hata wale wa hovyo kama kunguru,bundi au popo hawawezi weka hata kiota chao cha makazi na kuzaliana.

Miti hiyo ya kikoloni haifai kufanyiwa kampeni ya upandaji miti maeneo mbali mbali.Vyuo vyetu vya kilimo na wataalamu mbali mbali wahangaikie ukuzaji na uoteshaji miti ya asili na vitalu vya miti ya asili.Ni aibu mbele ya nyumba ya mtu hata ofisi ya serikali kuwa na mti wa kikoloni badala ya mti wa asili.Tukitaka ndege wa zamani warudi ,wanyama wa asili wa maeneo husika warudi lazima uoto wa asili urudi kuanzia majani ,miti nk . Ndipo wanyama,wadudu wa asili na hali ya hewa ya asili itarudi.

Tulitapeliwa Kama nchi operation panda miti ilitakiwa iwe operation panda miti ya asili sio hii miti ambayo hata ndege wanasusa hawawezi Jenga hata kiota.Kama nchi kama tunataka kuona wanyama,ndege na wadudu wa kale turudishe uoto wa asili.Hii miti migeni ya ajabu kuna milima ilikuwa na uyoga unaota baada ya kupanda hiyo miti kwenye milima uyoga hauoti tena pia hata mchwa wamemesusa maeneo yenye miti hiyo hawajengi vichuguu tena ambavyo vilikuwa vinatoa kumbi kumbi na waddu mbalimbali watamu kwa chakula.Ukikuta mlima umepandwa hii miti migeni unaukuta uko lifeless.Hauna wanyama,ndege,wadudu nk ambapo zamani walionekana ndege wengi wa rangi tofauti tofauti wakiruka ruka kwa vicheko vya furaha na raha toka tawi Moja hadi lingine wakitakana nk Sasa hivi milima iliyopandwa hiyo miti ya kigeni utafikiri umefiwa.Milima yetu tuirudishie miti ya asili.Kama nchi tumeshaumizwa kwenye hili tulirekebishe nchi irudi ilivyokuwa.Viumbe waliopotea watarudi Turudishe miti yetu.NGO za mazingira zivalie njuga swala hii.Kupanda kuwe kupanda miti ya asili ya eneo husika sio hii miti inayotufukuzia ndege wetu na wanyama wetu wa asili.Turudishe uoto wa asili

Pia wizara ihamasishe matumizi ya gesi ya kupikia vijijini na mijini.Bei ya gesi ipunguzwe na kodi ziondolewe ili kuwezesha watu wengi zaidi kutumia gesi ya kupikia kunusuru misitu na pia kuwezesha watanzania wengi kufaidi gesi yetu iliyogunduliwa.

Kampeni ya upandaji miti ya asili iendane na kampeni ya utumiaji wa gesi ya kupikia
Tatizo mabadiliko ya tabia ya nchi sio rafik kwenye uoto wa asili. Miti ya asili imeathirika kwa Hali hii so, ni Bora kupanda hiyo inayo kubaliana na mabadiliko hayo
 
Miti ya asili inapatikana wapi mkuu
Yaani inabidi Tanzania tuanzishe elimu zetu vyuo vikuu wazungu wanatuharibu yaani mtu anatoka na PHD ya kilimo Lakini ukimwambia aanzishe kitalu Cha miti anaanzisha Cha Miche ya miti ya kizungu.Hawezi anzisha kitalu Cha miti ya asili.Inauma sana
 
Ilikuwa mwaka 1997 wakati miti ilipoanza kuvunwa bila kurudishia tangu waikate hawajairudishia tena I wonder why wamepanda kijisehemu tu.....eneo lile kulikuwa na baridi kama Greenland hata gereza lilihamishwa lakini tangu wakate miti imesalia joto tu na vumbi kali mjini huku chini ingefaa upandwe mlima wote yawe mapafu ya jiji la Mbeya
Pandeni miti ya asili.Msipande ya kisasa .Kawetere huo mlima umesaidia familia nyingi mno .Wengi walikuwa wakiokota kuni kuziuza kwa matajiri wanunuzi wakubwa walikuwa walimu wa Shule za msingi..Shule za msingi wapewe Miche na eneo kila Shule wapande Ni zoezi la Muda mfupi tu.miti itakuwa imejaa mlima wote. Wapeni hiyo kazi au tenda shule za msingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom