Mbeya: Nahitaji Galaxy s2, s3 ama s4

Mbeya: Nahitaji Galaxy s2, s3 ama s4

Kama bado unahitaji ninazo s3 na s4
 
varbo weka bei na ziwe original kabisa
sim original kabisa moja yangu moja ya mke wangu sasa nabadilisha kama unahitaji vuta subira kidogo nipo nairobi mda huu tuonane ijumaa kama vipi sorry kwa kuchelewa kukujibu 300000 kwa 350000
 
sim original kabisa moja yangu moja ya mke wangu sasa nabadilisha kama unahitaji vuta subira kidogo nipo nairobi mda huu tuonane ijumaa kama vipi sorry kwa kuchelewa kukujibu 300000 kwa 350000

hizo bei ni za simu zipi s2, s3 au s4
 
Nimekwambia nina simu mbili S3 na S4
 
Back
Top Bottom