Ni kweli kabisa tunaogopa nondo, lakini matukio haya kwa sasa yamepungua, tuzidi kumwomba Mungu yasiwepo kabisa. Karibuni maparachichi kwa wingi jijini kwetu Mbeyaaaaaaaaa.Ni mji ambao ifikapo saa mbili tu watu wanjifungia majumbani mwao sijui wanogopa Nondo au
Aisee Mbeya kuna hazina kubwa sana. Halafu ulisahau, kiwanda kikubwa cha bia na cha kisasa Afrika mashariki kinapatikana Mbeya, Viwanda vingine kama Cocacola, Pepsi n.k. vinapatikana Mbeya. Station nzuri ya garimoshi kama hii hapa kwenye picha na yenyewe inapatikana Mbeya.
Majina mazuri pia yanapatikana mbeya
Mwakajinga
Mwakifulefule
Mwakifamba
Mwakyembe
Mwakikoti
Mwakyusa
Mwakipesile
n.k
mwakaloboYAPS !!!!
Na Mwakasungula
Mwasaguti
Mwakisisile
Mwakyomo
Mwambapa
Mwandenuka
Mwampamba
Mwamasika
Mwakyambiki
Mwambepo
Mwasakyeni
Mwampulo
Mwa....mwa.....mwa....mwa......................................
Mkuu wa Mkoa anaetumiwa na mafisadi kuuangamiza kimaendeleo mkoa wa kwao anatoka Mbeya!!!
Watu wanaooneana wivu usiokuwa na maendeleo wao kwa wao wanatoka Mbeya!!!
Katika hayo majina mmelisahau la Mtanzania nae si anatoka kwa wachuna ngozi!!!
mwakalobo
mwaitege
kajigili
mwasota
songopa
mwaigomole
hahaha!Mwakipesile ama Mwakalinga?
\\mmh ndo unachukua mafunzo toka kwa big brother Xpini....kazi nzuri!!!
Mgodi wa makaa ya mawe uko mbeya
Gesi nyingi na safi inapatikana mbeya
Migodi midogo ya dhahabu mbeya
Kiwanda kizuri ca cement mbeya
kimwondo kilichoanguka mbeya
Shule nzuri a nyingi sana za sekondary za private mbeya
wasomi wengi wanapatikana/wametokea mbeya
hoteli nzuri na za kisasa zipi mbeya
international airport wanataka kuizuia mbeya
madini(gemstone-pandahill) ambayo hayapatikani sehemu nyingine duniani
watu wakarimu zaidi wanaparikana mbeya
kitu gani nimesahau, yes hospital ya rufaa siyo kitu kidogo
bonde la ufa na matetemeko ya ardhi-mbeya
ziwa nyasa-lenye mawimbi makali
kwanza niendelee kukumbuka ....
dr Mpongoli