yan umeongea kweli tupu Mkuu....Naipongeza mahakama kwa hukmu nzuri hawa watu wanapotosha sana jamii na wapo wafuasi wao wana wamini hivi unavyomwita mtoto mchawi je watu wakimuua kwa iman yeye n mchawi? mtu mzma kwel ukamwite mtoto mchawi tena mbele ya umat wa watu? Huyu mtu alipaswa kupata hata kfungo cha miaka 20 maaana angesababsha mauji mabaya sana na uchonganisha...sio waganga wanao piga ramli peke yao wachongansh hata hawa wanajiita wao watu wa dini ni wachonganish sana nashangaaa serikali imewanyamazia
Aman Mwasote, ndiye yule aliyeimba "misuli ya imani"?
Hapana, yeye kaimba nyimbo hizi;Aman Mwasote, ndiye yule aliyeimba "misuli ya imani"?
Daah! Nafikiri ibilisi ameamua kumchafua kwa njia hiyo.Hapana, yeye kaimba nyimbo hizi;
-Kila mtu ana kwao
-Naona moto unashuka
-Nimebarikiwa
-Tutembelee.
Yuko vizuri sana kiroho , ndo vile mwanadamu hukabiliwa na hisia na changamoto nyingi.
Ukitaka kuifaidi hii habari, nenda kwenye tovuti ya habari za Kikristo inaitwa: Mwanzonews.commalizia habari bwana mbona haieleweki?
ebwana ile ya namshukuru mungu haleluyaa kama unayo please nadhni album ya kwanza.Hapana, yeye kaimba nyimbo hizi;
-Kila mtu ana kwao
-Naona moto unashuka
-Nimebarikiwa
-Tutembelee.
Yuko vizuri sana kiroho , ndo vile mwanadamu hukabiliwa na hisia na changamoto nyingi.
Itengeni basi bahati nzuri sana imepakana na nchi mbiliMbeya tumeichoka. Vituko kila kukicha