Asante kwa taarifa.
Tunaomba mliopo Mbeya muendelee kutu update, tunawategemea sana kwa taarifa sahihi.
Si mnajua hatuna TV wala radio stations hapa nchini siku hizi?
Asante kwa taarifa.
Tunaomba mliopo Mbeya muendelee kutu update, tunawategemea sana kwa taarifa sahihi.
Si mnajua hatuna TV wala radio stations hapa nchini siku hizi?
sugu(RAIS WA MBEYA),keshaongea na wananchi wake na kasema amekubaliana na kandoro watu waendelee kuuza barabarani na ikitokea wakavunja makubaliano hayo tena basi na yeye mwenyewe ataingia kitaan kuonesha hasira zake...