Lugombo Nsesi
Senior Member
- Jun 16, 2016
- 126
- 149
Kustaafu kwa mwanasiasa mkongwe na nguli katika mkoa huo, kumepelekea mkoa mzima kupooza kabisa. Mwanasiasa huyo aliwaminisha watu wa Mbeya kwa kiasi kikubwa sana kuwa ana uwezo na ni kweli aliweza kuwatumikia wananchi wa mkoa huo kwa nguvu zake zote, aliaminika mnoo!
Amestaafu siasa mkoa mzima umepoa kabisa.
Nasikitika kuona wapinzani hasa CHADEMA kuota mizizi mkoani humo. Wapo viongozi wakongwe mkoani humo ila hawafani kazi Kama Mark Mwandosya, tunakoelekea Mbeya itakua ngome ya upinzani.
Viongozi wa kitaifa ni kama hawaujui vizuri mkoa huo, ukiwasikiliza zaidi wananchi wa huko wanasema eti wameachwa, au wametelekezwa.
Wanadai mikoa ya Kaskazini imependelewa zaidi. Waliotoa malalamiko yao wanatoa mfano kua hata miradi ya nyumba za NHC jijini humo hakuna ili kuufanya mkoa huo kua na mandhali nzuri.
Mbeya na Mark Mwandosya ni Kama wote wanapotea!!
Amestaafu siasa mkoa mzima umepoa kabisa.
Nasikitika kuona wapinzani hasa CHADEMA kuota mizizi mkoani humo. Wapo viongozi wakongwe mkoani humo ila hawafani kazi Kama Mark Mwandosya, tunakoelekea Mbeya itakua ngome ya upinzani.
Viongozi wa kitaifa ni kama hawaujui vizuri mkoa huo, ukiwasikiliza zaidi wananchi wa huko wanasema eti wameachwa, au wametelekezwa.
Wanadai mikoa ya Kaskazini imependelewa zaidi. Waliotoa malalamiko yao wanatoa mfano kua hata miradi ya nyumba za NHC jijini humo hakuna ili kuufanya mkoa huo kua na mandhali nzuri.
Mbeya na Mark Mwandosya ni Kama wote wanapotea!!