Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Kulikuwa na tangazo la nafasi za kazi kwenye idara ya maji mkoa wa mbeya, nI takribani mawiki yamepita ila hakuna hata updates.....KULIKONI
mmmh uhakika bado maana nimecheki kwenye tovuti yao hakuna mpyaKuna mtu ametupia, ni tarehe 24 january