Mbeya hospitali ni jipu, naombeni msaada

Enny

JF-Expert Member
May 26, 2009
962
130
Jamani naomba msaada .

Nimelazwa na mtoto hapa hospitali ya rufaa nikitokea Tukuyu na hali ya mtoto ni mbaya sana natakiwa kupewa rufaa kwenda Muhimbili.

Ila naambiwa nitoe laki saba za usafiri nimewaomba basi acha nijisafirishe na basi maana sina hiyo hela wanakataa kwa kweli hali ya mtoto ni mbaya sana.
 
Du pole sana ndugu Mungu akusaidie. Jaribu kutrace kuonana na mganga mkuu labda sina uzoefu na hayo mambo. All ni all Mungu akufungulie njia
 
Pole Sana
Muhimu Hata Kwa Basi Uondoke
Huku Mtaani Tunadhani Serikali Inafanya Kazi Kumbe Yale Yale Pole Sana
 
Jamani naomba msaada .

Nimelazwa na mtoto hapa hospitali ya rufaa nikitokea Tukuyu na hali ya mtoto ni mbaya sana natakiwa kupewa rufaa kwenda Muhimbili.

Ila naambiwa nitoe laki saba za usafiri nimewaomba basi acha nijisafirishe na basi maana sina hiyo hela wanakataa kwa kweli hali ya mtoto ni mbaya sana.
Jamani naomba msaada .

Nimelazwa na mtoto hapa hospitali ya rufaa nikitokea Tukuyu na hali ya mtoto ni mbaya sana natakiwa kupewa rufaa kwenda Muhimbili.

Ila naambiwa nitoe laki saba za usafiri nimewaomba basi acha nijisafirishe na basi maana sina hiyo hela wanakataa kwa kweli hali ya mtoto ni mbaya sana.

USIKIMBILIE KULALAMIKA HAIAMKINI ANATAKIWA ASAFIRISHWE KWA NDEGE? TAFADHALI WAAMBIE WAKUPE MCHANGANUO WA HIZO GHARAMA ILI UOMBE MSAADA HATA WA KUCHANGIWA KULIKO KUJA KULALAMIKA HAPA JF KWA KITO KILICHOWAZI. OMBA MCHANGANUO
 
USIKIMBILIE KULALAMIKA HAIAMKINI ANATAKIWA ASAFIRISHWE KWA NDEGE? TAFADHALI WAAMBIE WAKUPE MCHANGANUO WA HIZO GHARAMA ILI UOMBE MSAADA HATA WA KUCHANGIWA KULIKO KUJA KULALAMIKA HAPA JF KWA KITO KILICHOWAZI. OMBA MCHANGANUO
Mimi nimewaambia wanipe karatasi za rufaa nijitafutie usafiri wa basi wamekataa kuwa hali ya mtoto ni mbaya hawataruhusu nipande basi nimewaambia sina hiyo laki saba sasa nimekuwa nazungushwa tu
 
Siyo kama nakimbilia kulalamika sina hiyo hela hata nikipewa mchanganuo huo ndiyo maana nimeomba msaada jamani mimi nina laki moja tu hapa ningeweza kusafiri kwa basi . Hii ni kweli wala siyo kama naandika tu nipo tayari kutoa hata information wodi nilipo na jina langu halisi na mtoto
 
Mimi nimewaambia wanipe karatasi za rufaa nijitafutie usafiri wa basi wamekataa kuwa hali ya mtoto ni mbaya hawataruhusu nipande basi nimewaambia sina hiyo laki saba sasa nimekuwa nazungushwa tu

Umeambiwa usisafir kwa bac hali ya mtoto mbaya ,hospital watamsafirisha kwa nn?
Kuna magari ya hospitali ya kusafirisha wagonjwa ndio ninayotakiwa kulipia laki saba. Wanatoa na nesi mmoja
 
Kuna magari ya hospitali ya kusafirisha wagonjwa ndio ninayotakiwa kulipia laki saba. Wanatoa na nesi mmoja

JAMANI TUMCHANGIE MEMBA MWENZETU. KAMA MPO TAYARI MIE NITAMUOMBA KIONGOZI MMOJA AFIKE HAPO HOSPITALI KUFUATILIA NA KURATIBU ZOEZI HILI. MHUSIKA PLZ TUPE NAMBA YAKO ILI WADAU WAKIRIDHIA MAWASILIANO YAWE RAHISI.
 
Nashakuru namba yangu ni 0766457631 nipo wodi ya watoto.
 
Jamani naomba msaada .

Nimelazwa na mtoto hapa hospitali ya rufaa nikitokea Tukuyu na hali ya mtoto ni mbaya sana natakiwa kupewa rufaa kwenda Muhimbili.

Ila naambiwa nitoe laki saba za usafiri nimewaomba basi acha nijisafirishe na basi maana sina hiyo hela wanakataa kwa kweli hali ya mtoto ni mbaya sana.

Pole sana kwa kulazwa. Sasa ni jipu kwa namna gani?
 
Jamani naomba msaada .

Nimelazwa na mtoto hapa hospitali ya rufaa nikitokea Tukuyu na hali ya mtoto ni mbaya sana natakiwa kupewa rufaa kwenda Muhimbili.

Ila naambiwa nitoe laki saba za usafiri nimewaomba basi acha nijisafirishe na basi maana sina hiyo hela wanakataa kwa kweli hali ya mtoto ni mbaya sana.

1. Ndugu yangu huruhusiwi kumsafirisha mgonjwa kama hayuko stable. Hamtafika mbali.
2. Tusipende sana kulalamika, hospitali huwa hazina mafungu ya kusafirisha wagonjwa, hata wakifanya hivyo huwa ni katika bajeti zao za ndani zilizo finyu.
3. Tuwe na shukrani hata kwa madogo tunayofanyiwa na wenzetu wanaofanya kazi katika mazingira magumu, maana unalalamika tu kwamba wenzako jipu, kwa kushindwa kukusafirisha; utadhani wao ni kampuni ya usafiri.
4. Tengeneza mahusiano mazuri na watumishi wa afya, ukiwa umelazwa mahali, ili kujenga kuaminiana.
 
Du pole sana ndugu Mungu akusaidie. Jaribu kutrace kuonana na mganga mkuu labda sina uzoefu na hayo mambo. All ni all Mungu akufungulie njia
Mgonjwa akiwa serious, huwa hairuhusiwi kumsafirisha umbali mrefu. Iwe kwa basi, treni, au ndege. Lazima afanyiwe stabilisation. Huyu ndugu analalama tu, na watu wala hawa question. Ubishi kwa wataalam si mzuri.
 
Siyo kulalama hapa nimepewa rufaa kwenda muhimbili sipati matibabu nimeambiwa nitasafirishwa na gari za hospitali ila nilipe laki saba na mimi sina. Na hali ya mtoto mbaya nimeomba msaada ndugu na kueleza hali halisi niliyo nayo.
 
Back
Top Bottom