babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 16,313
- 20,904
Mkuu njoo inbobo niambie basiNahisi ulitembelea sehemu maarufu kwa uuzaji wa K Vant sio nyama choma...
Next time nenda pembeni kidogo ya mji sio vilabuni huko utafurahi siwezi kutaja ni kama free promotion
Ya Mbeya imezindi, kula nyama mbichi hatari hata kwa maginjwa.Kila jamii ina mapishi yake, ni sawa kumlaumu mtu wa Kanda maalumu kwa kushindwa kupika kisamvu cha nazi au umlaumu mkwere kushindwa kupika kisamvu cha karanga. Nadhani ni tamaduni tu za jamii
Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
Mapishi asili ya kiafrika huko hawajaathiriwa na maviungo ya waarabu na wahindiKatika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.
Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.
Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.
Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.
Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
Hayo magonjwa wameleta wenye ngozi nyeupe huku kwa mweusi kila kitu halali ukimeza na miti shamba Salmonera anageuka kua dagaaYa Mbeya imezindi, kula nyama mbichi hatari hata kwa maginjwa.
Waeza pata salmonella poisoning.
Mbeya yote bar zote hawajui kutengeneza nyama au kuku.Carnival ni wabovu sana sijui wanazidiwa wateja,
Agiza kuku aloo si mchezo sikula,supu balaa,nyama choma ayaaa
sijui hata tuliishia kuonjaonja tu
Meza imejaa vyakula hamuwezi kula.
Tukaita mabarmaid wakala balaa.
Kuna hotel mbele nanenane stendi sijui inaitwa mfikemo.
Agiza supu kongoro wakaleta guu zima km lilivyo.
Ntakulaje sasa hamjakatakata.
Kuku balaa,
Mbuzi hovyo,
Chipsi yai la kienyeji hata kachumbari hawawezi.
Nikapewa tomato sauce.
Ila kwenye mabanda kitimoto nilienjoy haswa wako vizuri.
Pale njia panda kushoto mwanjelwa ukitoka uyole ukipita tu masoko yale nyama za kufa mtu hasa kitimotoukiwa canival elekea magharibi kuna njia mchepuko hapo ya mtaa ifuate mbele kuna pub kubwa jina sikumbuki..weee kuna nyama choma matata sana nilikula ngombe, wapo vizuri.sana jiko lao...