ALFA OMEGA
Member
- Feb 9, 2014
- 20
- 51
Timu ya MBEYA CITY inaingia kibaruani tena leo kupambana na timu kongwe ya AFC LEOPARD ya Kenya katika michuano ya CECAFA Nile Basin Cup inayofanyika nchini Sudan.
Hii ni mechi ya pili baada ya ile ya kwanza ambapo MBEYA CITY waliibuka kidedea kwa ushindi wa magoli matatu(3) dhidi ya mawili (2) ya AcademieTchite ya Burundi.
Wana Mbeya na Watanzania kwa ujumla tujumuike kuiombea timu yetu ili ifanye vyema katika pambano la leo.
Hii ni mechi ya pili baada ya ile ya kwanza ambapo MBEYA CITY waliibuka kidedea kwa ushindi wa magoli matatu(3) dhidi ya mawili (2) ya AcademieTchite ya Burundi.
Wana Mbeya na Watanzania kwa ujumla tujumuike kuiombea timu yetu ili ifanye vyema katika pambano la leo.