Mbeya: CHADEMA wachangisha pesa

Mbeya: CHADEMA wachangisha pesa

Issue sio kuchanga tu, Lakini walau tungekuwa tunapewa mrejesho wa mapato na matumizi.

Tukikosa transparency kwenye vihela vijisenti kama hivyo . Je tukiwakabidhi Hazina yetu itakuwaje ?

Yaaani mi naogopa sanaa....

Mbona hamkuhoji huo utransparency ulipochangia kwenye mabasi ya wanafunzi,na sukita?mlichanga kwa muda gani mlikatwa?
 
Issue sio kuchanga tu, Lakini walau tungekuwa tunapewa mrejesho wa mapato na matumizi.

Tukikosa transparency kwenye vihela vijisenti kama hivyo . Je tukiwakabidhi Hazina yetu itakuwaje ?

Yaaani mi naogopa sanaa....
We lazima utakuwa Gamba. Umewakabidhi CCM hazina je nini wanachokifanya?? au na wewe ni mneemeka wa kodi zetu?? Its better tukawapa hiyo hazina na wengine ili tuone wanavyofanya ili baadaye tupime nani kati yao ameitendea mema hazina yetu. Je kwa kuendelea kukaa na CCM tutajuaje ufanisi wa wengine pia kama hatujawapa nafasi nao waimanage hiyo hazina?? au akili yako inakuambia ni lazma Tanzania tuongozwe na CCM hadi mwisho wa Dunia??? After all CCM unaona nani ni presidential material????Nyie ndio mnaotucost kwa hayo mawazo yenu finyu.
 
Issue sio kuchanga tu, Lakini walau tungekuwa tunapewa mrejesho wa mapato na matumizi.

Tukikosa transparency kwenye vihela vijisenti kama hivyo . Je tukiwakabidhi Hazina yetu itakuwaje ?

Yaaani mi naogopa sanaa....

kijana jilazimishe kuwa mwelewa japo hutaki kuwa mwelewa,kwa sasa ccm iko madarakani je,hazna kuna sh,ngapi?kama unashindwa kuhoji matumizi ya fedha zako za kodi unakimbilia kuhoji za misaada bas we na ubongo wako ni sehemu ya tatzo.
 
Zote mtanunua maji ya maandamo hama kweli wajinga ndiyo...[/QUOTE

Acheni unafiki kujidai kuwaonea Watanzania huruma wakati nyie ndio majambazi wakubwa,saa hivi mnatafuta pesa za kampeni kwa kuingia mikataba feki ambayo ni mzigo kwa watanzania ambaye hata hajazaliwa,akizaliwa tu anakuta anadaiwa deni ambalo ccm wamechakachua unafiki una athari zake
 
Siku zote mtu atafutapo ukombozi hukejeliwa sana. makaburu walikuwa miung u watu, walikejeli kila kilichofanywa na wabantu. Leo mnatukejeli lakini tambueni tuna akili timamu!
 
ningependa yawe maandamano ya kuing'oa serikali yote kama alivyosema mke wao mrema ili tuanze upya.
Zimepatikana takriban mil.3.2 ,hii inaonesha ni jinsi gani watz tumewachoka wakoloni weusi {ccm} ,sio hivyo tu! Bali inaonesha jinsi cdm wanavyojali maslahi ya nchi. Hasie uona umuhimu wa cdm anautindio wa ubongo.

nimeipenda hiyo red,hiyo ndo inatakiwa kuwa ajenda haswa ya wakati huu.
 
Nimegundua wana ccm wengi hawaifahamu nchi yetu vizuri, nawaomba wautembelee mkoa wa Kigoma watajua siasa zimefika wapi! viongozi wao wanafahamu, lakini hawawaambii ukweli wanachama. ccm iko hoi na hizi kejeli ni kujifariji tu!
 
"The will of the people shall be the ruling force of any society"
 
Chadema wamejua kula za wajinga,unatoa huku unachekelea.

Kwa upande wa CCM unasemaje wamekula kupitia EPA, RICHMOND, KAGODA, na zingine wamepeleka Uswiss na watanzania tupo kimya kwa kauli yako CCM ndo wanaonekana kweli wamejua kula na Wajinga ukiwemo na wewe umeliwa pia.
 
Waangalie tu wasije kuambulia picha ya maji kama jinsi walivyoambulia picha ya helikopta.
 
Never tust chaga kwenye hela. hapo imekula kwao hao waliotoa. (moshi-mungu onyesha sehemu hela ilipo) watu wako tayari mpaka kumuuliza mungu. chezea wachaga wewe...
 
Back
Top Bottom