Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,164
- 13,556
Vikiwekwa kwenye maumbo hayo ndio vinazalisha uogaJeneza si box la mbao tu.....
Sanda si kitambaa cha pamba tu...
Why uhame nyumba....?
Vikiwekwa kwenye maumbo hayo ndio vinazalisha uogaJeneza si box la mbao tu.....
Sanda si kitambaa cha pamba tu...
Why uhame nyumba....?
Uoga unatoka wapi sasa...ukiwa na imani navyo ndo utaogopa...Vikiwekwa kwenye maumbo hayo ndio vinazalisha uoga
Acha uoga wewe hizo ni mbao tu na vitambaa unaogopa niniNajaribu kuvaa viatu vya huyo jamaa asee unaweza acha nyumba
Una uhakika hauamini UCHAWI?uwe mkweli mkuuKwa woga huu wangekuweza. Mimi Hilo jeneza ningelifungua mwenyewe, ningevunja na kulitupilia mbali, sipendi ujinga na Wala siamini kabisa upuuzi wa uwepo wa uchawi. Sioni cha ajabu hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kimechota unyayoHapo ukute kuna kibibi hukukisalimia, kikakuokotea mchanga[emoji23][emoji23][emoji23]..... halafu hujui hata kinapoishi
Siamini kabisa mkuu hizo story za kusadikia. Nachelea kusema wajinga tu ndo huziaminiUna uhakika hauamini UCHAWI?uwe mkweli mkuu
[emoji54][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama nakuona mkuu unavyolivunja vunja ...unaingia ndani unakuta mtu katulia ananing'inia kwenye ukuta sjui utalirudishiaKwa woga huu wangekuweza. Mimi Hilo jeneza ningelifungua mwenyewe, ningevunja na kulitupilia mbali, sipendi ujinga na Wala siamini kabisa upuuzi wa uwepo wa uchawi. Sioni cha ajabu hapa
Hahaha funny but unfortunately haiwezekani. Hakuna uchawi, acheni imani potofu za wajinga za kuamini mambo ya kusadikika[emoji54][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama nakuona mkuu unavyolivunja vunja ...unaingia ndani unakuta mtu katulia ananing'inia kwenye ukuta sjui utalirudishia
Kwa nini bana!Najaribu kuvaa viatu vya huyo jamaa asee unaweza acha nyumba
Baada ya siku mbili hao matapeli watamtumia mwenye nyumba msg ya kujifanya waganga wa kumsafisha mikosi
Usilitupe wewe lifanye kuni za kupikia tuKwa woga huu wangekuweza. Mimi Hilo jeneza ningelifungua mwenyewe, ningevunja na kulitupilia mbali, sipendi ujinga na Wala siamini kabisa upuuzi wa uwepo wa uchawi. Sioni cha ajabu hapa
Certainly, that will do.Usilitupe wewe lifanye kuni za kupikia tu
hakuna kuhama hapo,unachukua shoka unalipasua kuni unachemshia supu ya mbuzi au kiti deshideshi!Mmh mbona nahama
Hahahahahakuna kuhama hapo,unachukua shoka unalipasua kuni unachemshia supu ya mbuzi au kiti deshideshi!