CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,922
Ntakati hizi bila kuwekeza kwenye nalisho ni hasara, Kwa wafugaji wa Ng'ombe, Mbuzi, Nguruwe, kondooo, farasi, na hata kuku, ni wakati wa kuotesha majani yako kama una shamba, nyakati hizi malisho ni changamoto sana hivyo kama una shamba otesha majani.
Majani kama Lucerne unaweza vuna hata mara 6 kwa mwaka make unakata inachipua na ukipata maji ndio utavuna hadi uchoke.
Lucerne inatumiwa na mifugo yote hadi nguruwe, kuku na Sungura.Ukihitaji mbegu za haya majani tajwa hapo nicheki. Mbegu tunazo Arusha.
BEI
MBEGU ZA MALISHO
1. Lucerne- 90, 000/@kg
2.Boma Rhode- 60, 000/@kg
3) Masai Love grass seeds(Eragrostis superba )
6) Brachairia Grass seeds-150, 000/@kg
Majani kama Lucerne unaweza vuna hata mara 6 kwa mwaka make unakata inachipua na ukipata maji ndio utavuna hadi uchoke.
Lucerne inatumiwa na mifugo yote hadi nguruwe, kuku na Sungura.Ukihitaji mbegu za haya majani tajwa hapo nicheki. Mbegu tunazo Arusha.
BEI
MBEGU ZA MALISHO
1. Lucerne- 90, 000/@kg
2.Boma Rhode- 60, 000/@kg
3) Masai Love grass seeds(Eragrostis superba )
6) Brachairia Grass seeds-150, 000/@kg