Mbegu za malisho Lucerne, Boma Rhode, Masai Love Grass na Brachairia Grass

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,922
Ntakati hizi bila kuwekeza kwenye nalisho ni hasara, Kwa wafugaji wa Ng'ombe, Mbuzi, Nguruwe, kondooo, farasi, na hata kuku, ni wakati wa kuotesha majani yako kama una shamba, nyakati hizi malisho ni changamoto sana hivyo kama una shamba otesha majani.

Majani kama Lucerne unaweza vuna hata mara 6 kwa mwaka make unakata inachipua na ukipata maji ndio utavuna hadi uchoke.

Lucerne inatumiwa na mifugo yote hadi nguruwe, kuku na Sungura.Ukihitaji mbegu za haya majani tajwa hapo nicheki. Mbegu tunazo Arusha.


BEI

MBEGU ZA MALISHO


1. Lucerne- 90, 000/@kg

2.Boma Rhode- 60, 000/@kg

3) Masai Love grass seeds(Eragrostis superba )

6) Brachairia Grass seeds-150, 000/@kg

IMG_20230223_230321.jpg
FB_IMG_1677212942254.jpg
FB_IMG_1677212923914.jpg
9k%3D(5).jpg
 
Ntakati hizi bila kuwekeza kwenye nalisho ni hasara, Kwa wafugaji wa Ng'ombe, Mbuzi, Nguruwe, kondooo, farasi, na hata kuku, ni wakati wa kuotesha majani yako kama una shamba, nyakati hizi malisho ni changamoto sana hivyo kama una shamba otesha majani.

Majani kama Lucerne unaweza vuna hata mara 6 kwa mwaka make unakata inachipua na ukipata maji ndio utavuna hadi uchoke.

Lucerne inatumiwa na mifugo yote hadi nguruwe, kuku na Sungura.Ukihitaji mbegu za haya majani tajwa hapo nicheki. Mbegu tunazo Arusha.


BEI

MBEGU ZA MALISHO


1. Lucerne- 90, 000/@kg

2.Boma Rhode- 60, 000/@kg

3) Masai Love grass seeds(Eragrostis superba )

6) Brachairia Grass seeds-150, 000/@kg

View attachment 2528123View attachment 2528124View attachment 2528125View attachment 2528126
Mbegu ipi ya Ng'ombe ni bora kwenye ufugaji kwa ajili ya nyama
 
Ntakati hizi bila kuwekeza kwenye nalisho ni hasara, Kwa wafugaji wa Ng'ombe, Mbuzi, Nguruwe, kondooo, farasi, na hata kuku, ni wakati wa kuotesha majani yako kama una shamba, nyakati hizi malisho ni changamoto sana hivyo kama una shamba otesha majani.

Majani kama Lucerne unaweza vuna hata mara 6 kwa mwaka make unakata inachipua na ukipata maji ndio utavuna hadi uchoke.

Lucerne inatumiwa na mifugo yote hadi nguruwe, kuku na Sungura.Ukihitaji mbegu za haya majani tajwa hapo nicheki. Mbegu tunazo Arusha.


BEI

MBEGU ZA MALISHO


1. Lucerne- 90, 000/@kg

2.Boma Rhode- 60, 000/@kg

3) Masai Love grass seeds(Eragrostis superba )

6) Brachairia Grass seeds-150, 000/@kg

View attachment 2528123View attachment 2528124View attachment 2528125View attachment 2528126

Lengo lako sio kuwasaidia bali kuwa vuna wafugaji.
 
Lengo lako sio kuwasaidia bali kuwa vuna wafugaji.
Kuwasaidia kama NGOs au kama Serikali?; hizo ni mbegu na ni certfied na ziko Parcked kabisa, Lucerne Kibo seeds wanauza 120, 000/ kilo 1 hapo nauza 90, 000/ unataka vipi? Wanao hitaji walisha Pm biashara isha isha, na kumbuka hizo mbegu ni endelevu huwezi teba kuja kununua mbegu maisha yako yote bali utapata kutokana na majani ulio otesha
 
Acha hayo mawazo wafugaji huteseka na malisho na hawajui wap wapate nyasi Bora kwahiyo ni safii kabisa
Kuna watu ni wajinga humu, hizo mbegu ukiwapigia Kibo seeds hizo bei watakazo taja itakimbia, hajui bei halisi ana toa povu tu humu.

Na hizo mbegu ni biashara kwa baadae unaweza kuwa unalima unavuna unauza mbegu, na hizi mbegu tunazo uza ni cerfied ziko Packed kwenye makopo sio za mtaani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom