Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Chakula cha mifugo imekuwa changamoto na hivyo kupunguza faida kwa wafugaji, lakini ukiwa na azolla mambo ni tofauti. Unapanda mara moja unavuna kwa mwaka mzima.
Wasiliana nasi tukupatie mbegu za azola pamoja na mbolea za asili kwa ajili ya kurutubisha bwawa.
Tuko Nyasaka Centre jijini Mwanza. (Simu 0655-533543)