Mbegu tuliyoipanda imestawi tusiiache ikakomaa

Mbegu tuliyoipanda imestawi tusiiache ikakomaa

Kwa hali ilipofikia itachukua tena zaidi ya miaka 10 kurudia katika hali ya zamani. Sababu haya yalianza kipindi cha mkapa hadi sumaye akasema ukitaka mambo yako yawe sawa njoo ccm. Hapo utaona ile kauli tayari ilishawagawa watanzania na ikaendelea kumea kwa jk na sasa kwa jm. Katika kipindi chote hicho hakuna aliyeamua kukata hiyo mizizi ili mmea huu ufe zaidi ya kuweka mbolea na maji.
Hakuna haja kurudi zamani. Sjui kwanini watu juwa hampendi kusonga mbele. Twende hivihivi liwalo na liwe. Maana zamani huko watu walikua manyumbu kufuata kauli za mtu mmoja!!
 
Na itaendelea kustawi zaidi na zaidi kwa mwenendo huu tunaoenda nao...
Sijawah kuona kabisa...imefikie kutoa kauli hii "bora ma ccm yame..." nashindwa hata kumalizia ndio mentality iliyooteshwa baina yetu kwa kuendekeza mambo fulan ambayo hayatulet pamoja kama watanzania..na ndo mwaka tu ...sijui miaka 4 hio hali itakuwaje. Nawaza tu kwa sauti hasa mwaka 2020
 
Wangekufa chadema ingekuwa zaidi nakuambia, kama watu walimuombea Lowassa kifo mchana kutwa tena kila siku watashindwa kwa wengine, pia vipi Lowassa angekufa kweli wakati wa kampeni matusi toka ccm yangekuwa kama mchanga, mbegu hii imepandwa na ccm wenyewe.
 
Akifa chadema anapunguza kura akifa ccm itz alright
Hiki ndio watu wanenacho
Mi pia siipendi ccm na wanachama wake.
 
Mimi naona bifu iendelee tu kwasabbu ccm sasa hivi wanajiona wao ndo tanzania na Tanzania ndio wao ,hauwezi kumfunga Lijuakali kwa makosa ya kijinga ya policcm kubambikiza mtu kesi eti Lijuakali kashambulia polisi,policcm wamebeba bunduki bomu,rungu na gari washa washa difenda tano wamejaa askari,eti mbunge Lijuakali awashambulie waache kumlipua bomu tumboni Kama walivyomlipua Mwangosi washindwe kweli? Wakati wanajua ukiua,ukipiga upinzani na kumbambikiza kesi ndio cheo kinapanda washindwe kumfanyia Lijuakali eti awashambulie wanamwona thubutu!!!


Neno kabisa wakati huo
Niliona kwa macho yangu yule aliyempiga na mtu fimbo ya kichwa mmmh hivi siku hizi ni nani tena?
 
Ni nyie wa MITANDAONI ndio mnaoichukia CCM .....na hili si jmabo GENI hata KIDOGO rejea 2015 mitandaoni CDM walikuwa balaaa MAANA INASEMEKANA RUZUKU YA CHAMA IMEWEKEZWA SANA KWENYE POROJO MITANDAONI....afu mwisho wa siku KURA ZINAPIGWA NA WASIO NA ACCESS NA MITANDAO.......hapo ndipo mchawi anatafutwa kupitia MITANDAONI
2020 watadai tena kura zao zimeibwa!
 
Japo binafsi sio mfuasi wa ccm kabisa, hizo lugha ni chafu, za kishetani na uovu. Binadamu mwenye akili timamu hawezi sema hayo ktk mambo ya misiba au vifo! je wewe umejua utakufa kwa njia ipi? tuache kumdhihaki Mola jamani. Tena waliofanya hivyo nawashauri wafanye toba.
 
Hakuna haja kurudi zamani. Sjui kwanini watu juwa hampendi kusonga mbele. Twende hivihivi liwalo na liwe. Maana zamani huko watu walikua manyumbu kufuata kauli za mtu mmoja!!
Kwa hiyo twende kama paka mwizi au mbwa koko ambaye chochote kikipita mbele anakimbia. Hawezi kujitetea wala kujitambua
 
Ni nyie wa MITANDAONI ndio mnaoichukia CCM .....na hili si jmabo GENI hata KIDOGO rejea 2015 mitandaoni CDM walikuwa balaaa MAANA INASEMEKANA RUZUKU YA CHAMA IMEWEKEZWA SANA KWENYE POROJO MITANDAONI....afu mwisho wa siku KURA ZINAPIGWA NA WASIO NA ACCESS NA MITANDAO.......hapo ndipo mchawi anatafutwa kupitia MITANDAONI

Kwa hiyo zaidi ya silimia 40% alizopata nanihii, zilipigwa na hawa jamaa wa kwenye mitandao?
 
Si chuki dhidi ya CCM tu Bali pia kuna chuki kubwa Kwa wanaCCM na watawala dhidi ya watu wasio CCM. Hali hii si nzuri ni vema tukajitafakar
 
Kwa hiyo twende kama paka mwizi au mbwa koko ambaye chochote kikipita mbele anakimbia. Hawezi kujitetea wala kujitambua
Kujitetea na kujitambua ndo sehemu ya kusonga mbele. Kukimbia na kutamani zamani ndo kutobadilika
 
Ni nyie wa MITANDAONI ndio mnaoichukia CCM .....na hili si jmabo GENI hata KIDOGO rejea 2015 mitandaoni CDM walikuwa balaaa MAANA INASEMEKANA RUZUKU YA CHAMA IMEWEKEZWA SANA KWENYE POROJO MITANDAONI....afu mwisho wa siku KURA ZINAPIGWA NA WASIO NA ACCESS NA MITANDAO.......hapo ndipo mchawi anatafutwa kupitia MITANDAONI
Endeleeni kuiba kura mkisingizia bibi zetu shambani ni vihiyo ndo wanaewApa kura[emoji20] [emoji20]
 
Ya Godbless Lema ni matatizo ya kujitakia.Hayahitaji kumpa pole.Kwani hakuna mpiga kura aliyemchagua Arusha ili aende kuita watu mashoga au kuota ndoto kuwa wamekufa.Watu walimchagua awaletee maendeleo sio maneno ya kutukana watu kuita mashoga.

Tofautisha tatizo la kujitakia na ajali.Ajali mtu uko huru kutoa pole lakini la kujitakia hakuna haja ya kumpa mtu pole.Lema akitoka Kisongo mumuulize hayo ya kutukana mkuu wa mkoa kumwita shoga ndiyo watu wa aruisha mjini walimtuma walipokupigia kura.Na mumuulize atarudia kumwita mkuu wa mkoa shoga?
Na tumepanga awe mbunge wetu wa maisha tutamchagua hata kama anaozea jela ili mradi ajaze form tu....Arusha maendeleo yalipangiliwA na wazee wetu toka enz mbunge ni utaratibu tu wa usimamizi hata wewe leo tukikuweka pale huwezi kwenda kinyume na mfumo huo na Geneva ya Tanzania lazima ije itimie...tutaendelea kuishi kwa chuki mpaka "mwana wa adamu"atakaporejea ulimwenguni maana ndicho mnachokitaka maficm....[emoji35] [emoji35]
 
Back
Top Bottom