Mbega ameondoa hadi mapazia ofisini-Mbunge

Eee Mungu naomba huu ugonjwa usije ukasambaa na ukapiga hodi hadi Ikulu. Amen
 
Eee Mungu naomba huu ugonjwa usije ukasambaa na ukapiga hodi hadi Ikulu. Amen


ahaai am afraid ugonjwa unaweza hamia uko,mana mtoto wa nyoka ni nyoka tu na kuna msemo mtoto huiga yale yanayofanywa na mzazi,mtu anaweza tinga ikulu akakuta hakuna hata bendera ya nchiiiiiiii,na ukiuliza waweza ambiwa niya ccm vumbueni yenu uwiiii
 
Kwaheri mwalimu kwa heri tutaonana kesho
sasa sasa saa ya kwenda kwetu sasa sasa saaa ya kwetu kwetu kwaheri MASHA kwaheri tutaonana DAR
kwaheri MONICA kwaheri tutaonana keshoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Wapendwa katika bwana wakati watanzania wakiingia katika mwamko wa kukomboa nchi yao sasa naona viongozi wa nchi waliopita wameanza kuondoa tahamani zao maoofisini zikiwemo vyupa vya chai vitanda viti makoschi nk..sasa naona kila mtu ameanza kuondoa chake mapema na kujua kumbe kuna watu walijibinafsisha ofisi za BUNGE

Sikuwahi kujua akilini mwangu kuna watu wanabinafsisha ofisi za Bunge kihivyo ..na sakata lililotokea huko IRINGA limeonyesha jinsi gani ccm ilivyojialimbikiza mpaka kwenye oifisi zza BUNGE..na doubt yale makochi hayakuwa hivi hivi kulikuwa na vitu ndani yake kwa nini wakimbize.....

Hili liwe somo kwa wanachadema wabunge wa chadema jamani muanze kujiandaa kununua ttahamani zenu wapendwa huko ccmm MAKAMBA kawaka kila alieondoka achukue chake..kazi ipo

JE nani anafwata???LUSINDE KAA CHONJO MZEE NAE AKIKASIRIKA UMEKWISHA UTAKALIA MKEKA ULE STORE USIUTOE KABSA KUONDOA AIBU HII
 
Njaa, chuki na ubinafsi vinawasumbua. Hiyo mitumba wanapeleka wapi kama si umaskini? Wengine hapa nyumbani mapazia tu yakikaa mwaka yababadilishwa, unagawa kwa wanaohitaji unanunua mengine, leo hii hayo ya vumbi mnapeleka wapi? Acheni ushamba CCM nyie, mnatia aibu. Tena sijasikia hata kiongozi mmoja anakaripia hiyo aibu yenu ya kuondoka na mitumba. Kijiba cha roho hicho.

Hawa wabunge wa sisiemu wangekua na uwezo wangetindua hadi barabara hawa wakisema wao ndo wamezileta hapo zilipo
 
Ofisi ya mbunge ni mali ya nani?
Inaelekea mchezo huu unaendeshwa kila kona ya nchi -- angalia Local News
My take - kungoa vitasa na kuchukua samani zilizoko maofisini humo ni ujangiri na wizi wa mchana. Wahusika wanapaswa wachukuliwe hatua za kisheria.
 
kweli kuwa mwana ssm ni aibu, hivi tathmini inafanya baada ya vitu kuondolewa?
 
Serikali si inaweza kununua thamani zote za ofisini, kwanini wawe kiherehere kuweka vitu na kuviondoa? angekuwa anaendelea na wadhifa angeondoa kweli?
Sijui nani next ataondoka na kapeti..mana Masha ni mzee wa vitasa na Mbega ni bi'mapazia!!
 
Wewe Monica Mbega unachokifanya ni kujitafutia shuluba kwa mwili wako. Roho mbaya kiasi hiki haitakusaidia kitu jaribu kuwa muungwana. Sasa unachukua mpaka na mapazia ni umaskini,kukomoana,au ni ufujaji wa mali ya umma. Hiyo ofisi haikuwa ya ukoo wako ilikuwa ya wananchi waliokupigia kura. Rudisha kila kitu eti kanunua ziko wapi pesa basi Msigwa akanunue vifaa anavyohitaji kwa ofisi yake. Watu wengine bana kama hazimo ni sawa na kuwa na akili isiyo na akili.
 
Back
Top Bottom