Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,020
Mrema kakosa mtu wa kumtuma jamani.. Nini hiyo?
Mkuu naona Mrema anakuumiza, hizo ni facts, chanzo cha redio hicho
Mbatia atapata ubunge wa viti maalumu, atateuliwa na Dr JOHN Pombe Magufuli.
Mtoto wa mrema