Mbatia aweka vikao vya madiwani wa Nccr na Chadema. Chadema watoka wasema wanampa ubunge Mrema. Chadema wagoma kutoa madiwani wao katika kata zote 16 za Vunjo wasema wanagombea sambamba Na Nccr, wamlaumu Kwa kutowaachia kata ilihali wenyewe wamemwachia ubunge, mbatia akwepa kuongea Na waandishi wahabari, ashidwa kuwanadi madiwani wa Nccr kWenye mkutano.
Radio moshi fm.
My take: Mbatia sio politician. Ana uelewa mdogo. Alijua UKAWA ndo itamwokoa kumbe kamanda Mbowe once again is too clever. Mbatia loses good for mbowe. Nccr dies good for mbowe. Ndo maana wakamdaganya na jimbo ambalo kushinda ni ngumu kuliko kwa mdee.
And to make it worse ata kumwachia kata za udiwani mwenyekiti mwenza wa ukawa wamegoma despite taking lions share of places in tanzania.
Anyways... Wajinga ndo waliwao
Radio moshi fm.
My take: Mbatia sio politician. Ana uelewa mdogo. Alijua UKAWA ndo itamwokoa kumbe kamanda Mbowe once again is too clever. Mbatia loses good for mbowe. Nccr dies good for mbowe. Ndo maana wakamdaganya na jimbo ambalo kushinda ni ngumu kuliko kwa mdee.
And to make it worse ata kumwachia kata za udiwani mwenyekiti mwenza wa ukawa wamegoma despite taking lions share of places in tanzania.
Anyways... Wajinga ndo waliwao