Mbatia kutimuliwa UKAWA?

Mbatia kutimuliwa UKAWA?

Status
Not open for further replies.
Imetulia Kamanda,Kiukweli werevu tulishajua yalikuwa maneno ya ibilisi so umefanya vyema kuweka mambo sawa.
 
Makene upuuzi mwingine usiukanushe wasitupotezee muda hawana ishu wamebaki kutoboana macho
 
Ukawa kwishney

mkuu mbona unapanik? toa hoja..unanikumbusha enzi za utoto tukipigana nikiona naelemewa nilikuwa natoka mbio hadi urefu fulani then naanza porosha matusi
 
Mkuu Tumaini Makene, ahsante kwa taarifa. Siasa za kwenye mitandao zinachanganya sana. Huku nilipo hata bila UKAWA ccm hawatoki. Hapa kura ya maoni ya kumpata mgombea kwa tkt ya ukawa ndio shughuli ngumu c kuiondoa ccm. Ccm ishajifia
 
Last edited by a moderator:
Ukawa kwishney

sirluta

Hata fisi huvizia mkono wa binadamu. Kwa uwezo wake mdogo wa kufikiri, akitegemea mkono huo utadondoka!

Kwa namna kasi ya UKAWA unavyozidi kusonga mbele dhidi ya chama (CCM) kinachoanguka na serikali iliyoshindwa (falling ruling party and failing government), si ajabu sana walioko madarakani kuongozwa na uwezo wa kufikiri kama unaomwongoza fisi bila matamanio yake kutimia.

Umetusaidia kujua wanachotamani upande wa pili.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom