Mbatia kutimuliwa UKAWA?

Status
Not open for further replies.

Sidhani kama ni kweli
 
Mmh... tatizo humu watu ni wajuaji MNO
habari hii inaweza kuwa na ukweli ila sasa inavyowasilishwa ni ujinga ule ule wa sababu za ZITTO kuondoka CHADEMA badala waseme ukweli utasikia mara anatumiwa mara vile, watu wanakuwa wanatafuta huruma tu za kijinga.
 
Kama hivi slaa mgombea urais chadema,cuf kugombea urais kwa tiketi ya chadema sijui nani atagombea kupitia ukawa.

Kwani UKAWA wameshachagua mgombea wa Urais?

Au mnahorojoa tu mkuu?

cc FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Hakuna jambo linafanikiwa kwa kufanywa na watu au makundi yasiyoaminiana, kuepuka mgawanyiko na migogoro ni lazima kila mwanachama ashiriki kwa manufaa ya UKAWA.
 
Mimi naaweza kuamini huyyu. Mbatia ni pandikizi na ni mcheza sinema. Ile ishu ya yule mwenyekiti wake alieonekana jina lake kwenye wajumbe waliopigakura imeishia wapi ile kesi?

Simuamini Mbatia hata kidogo na ninawasiwasi yale ya kuweka jjina la makamo wake wa kule Zanzibar amechangia miakwamia.

Pale wamegawana mkwanja mrefu na hata saiv ukimuona ambari anacheka tuu
 
Siku moja ukweli ukijulikana uliopo ndani ya chadema kuhusu mabele malando na mwesigwa baregu hamtaamini wote hao ni watumishi wa serikali ukawa zungukeni sana baada ya uchaguzi mkuu ndiyo mtayajua haya wakati huo mtakuwa peupe kama karanga.

kwani kuwa mtumishi wa serikali,ina manisha huwezi kuwa mpinzani wa chama tawala.hi ni kwa nchi ya mapunguani kama Tanzania pekee.mbona mimi mtumishi wa serikali na nipo chama kingine si ccm.
 
Duuu...ama kweli zimwi likujualo halikuli uka kwisha. Kila marefu yana ncha....
 

Mkuu namimi nilitaka kumshushia kama ulivyomshushia ila kwa vile umekidhi haja ya moyo wangu Basi lamba.......liji -LIKE likubwa mno.
 

acha uzushi na uzandiki wewe!!
 
UKAWA ni mti wenye matunda mema kurushiwa mawe ni kawaida .mmeshindwa kuwafukuza wezi wa pesa za umma mnakuja kutunga taarabu humu mpelekieni mzee Yusufu.
 


Asante Mjukuu wa Nape!. CCM Oyeeee, na zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM!.
 
Siku moja ukweli ukijulikana uliopo ndani ya chadema kuhusu mabele malando na mwesigwa baregu hamtaamini wote hao ni watumishi wa serikali ukawa zungukeni sana baada ya uchaguzi mkuu ndiyo mtayajua haya wakati huo mtakuwa peupe kama karanga.

Shikamoo Dada?
 

Source
Uhuru na Mzalendo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…