Hongera kwa dua njemaHata mbatia apewe pesa vp nccr mageuzi 2015 watapoteza hata wabunge ambao wanao saizi
Mkuu hapo kwenye wekundu hakuna kiasi cha fedha kinachoweza kufanikisha hilo lengo.
Kama kawaida yenu CHADEMA, mtaendelea kumwandama Mwenyekiti wetu hata lini? Kama watu wenu wamekula rushwa, hangaikeni na hilo na mjue namna ya kulishughulikia, sio kusingizia eti ni njama zinazohusiana na POAC au 2015.
Nawashaurini badala ya kujitahidi kuchafua watu wasiokuwa wa vyama vyenu kwa hofu ya kwamba wanaweza kuwaondoa katika nafasi zenu, wahakikishieni watanzania kwamba mnao uwezo wa kuwashughulikia wala rushwa wanaobainika miongoni mwenu.
Hamjamsoma Dr. Lwaitama leo? "Mmeshindwa kujipambanua kisera badala yake mmechagua uzushi na mashindano ya matusi"
sasa niwazi kuwa lile sakata linaloendelea ndani ya wizara ya madini na nishati linachukua sura mpya, wale mnaowaona wakipiga kelele ni kuwa si bure, vita yote hiyo nia ni kumngoa Zitto Kabwe na muda simrefu James Mbatia atateuliwa kuwa mwenyekiti wa POAC,
James Mbatia ni mwanasiasa mwenye utata mwingi kuhusu kile aanachosimamia, mfano:
1. ndiye aliyeongoza kampeni miaka ya nyuma ile ilyohakikisha CUF kule Zanzibar imekosa wabunge 6 wakati ule akitumiwa na CCM, na bado anajulikana kama mpinzani
2. alishiriki kikamilifu kuisambaratisha NCCR mageuzi wakati wa Mrema
3. alimfungulia kesi Halima Mdee kule Kawe huku akijua kuwa yeye alikuwa mshindi wa tatu, na kwa vyo vyote vile CCM wangekuwa beneficiary kama Mdee angeshindwa ile kesi.
4. alishiriki kumwengua David Kafulila uanachama na hivyo kuuweka ubunge huo mashakani
Ninazo habari za karibu kuwa mbatia anatumiwa na mafisadi walioko kwenye kambi za urais za CCM, wanampigia chapuo ili achukue nafasi ya Zitto huko POAC, ifikapo 2015 ameahidiwa kuwa atasaidiwa pesa za kampeni ili chama chake cha NCCR kipate wabunge angalua wengi kuliko CHADEMA na kuwa upinzani rasmi bungeni. FUATILIENI KWA KARIBU NA SIKU MOJA MTAKUMBUKA THREAD HII
Jiulize kwanini jk kamteua kuwa mbunge kwani ccm wameisha wa kuteuwa? Ukipata jibu nadhani ukweli wa hii thread utauona
Mimi nilijiunga CHADEMA nikijua ni wapinga rushwa,nadhani wengi tulijiunga kwa sababu hiyo,kwamba cdm ilionekana ni mbadala kwa siasa za tz,ninaumia sana nikisikia CHADEMA wakihusishwa na rushwa,
Kwa akili zangu ili CHADEMA iendelee kuwa maarufu hapa tz, isipoteze mvuto wake kwa wananchi, ni busara kumfukuza zitto uanachama kama kweli itathibitika kuwa anahusika pamoja na wenzake akina sendeka,unapingaje mafisadi wakati wewe ni fisadi pia?
CHADEMA wasiogope hakuna aliye maarufu kuzidi chama chenyewe
sasa niwazi kuwa lile sakata linaloendelea ndani ya wizara ya madini na nishati linachukua sura mpya, wale mnaowaona wakipiga kelele ni kuwa si bure, vita yote hiyo nia ni kumngoa Zitto Kabwe na muda simrefu James Mbatia atateuliwa kuwa mwenyekiti wa POAC,
James Mbatia ni mwanasiasa mwenye utata mwingi kuhusu kile aanachosimamia, mfano:
1. ndiye aliyeongoza kampeni miaka ya nyuma ile ilyohakikisha CUF kule Zanzibar imekosa wabunge 6 wakati ule akitumiwa na CCM, na bado anajulikana kama mpinzani
2. alishiriki kikamilifu kuisambaratisha NCCR mageuzi wakati wa Mrema
3. alimfungulia kesi Halima Mdee kule Kawe huku akijua kuwa yeye alikuwa mshindi wa tatu, na kwa vyo vyote vile CCM wangekuwa beneficiary kama Mdee angeshindwa ile kesi.
4. alishiriki kumwengua David Kafulila uanachama na hivyo kuuweka ubunge huo mashakani
Ninazo habari za karibu kuwa mbatia anatumiwa na mafisadi walioko kwenye kambi za urais za CCM, wanampigia chapuo ili achukue nafasi ya Zitto huko POAC, ifikapo 2015 ameahidiwa kuwa atasaidiwa pesa za kampeni ili chama chake cha NCCR kipate wabunge angalua wengi kuliko CHADEMA na kuwa upinzani rasmi bungeni. FUATILIENI KWA KARIBU NA SIKU MOJA MTAKUMBUKA THREAD HII
ifikapo 2015 ameahidiwa kuwa atasaidiwa pesa za kampeni ili chama chake cha Nccr kipate wabunge angalua wengi kuliko cdm
Mkuu hapo kwenye wekundu hakuna kiasi cha fedha kinachoweza kufanikisha hilo lengo.