sasa niwazi kuwa lile sakata linaloendelea ndani ya wizara ya madini na nishati linachukua sura mpya, wale mnaowaona wakipiga kelele ni kuwa si bure, vita yote hiyo nia ni kumngoa Zitto Kabwe na muda simrefu James Mbatia atateuliwa kuwa mwenyekiti wa POAC,
James Mbatia ni mwanasiasa mwenye utata mwingi kuhusu kile aanachosimamia, mfano:
1. ndiye aliyeongoza kampeni miaka ya nyuma ile ilyohakikisha CUF kule Zanzibar imekosa wabunge 6 wakati ule akitumiwa na CCM, na bado anajulikana kama mpinzani
2. alishiriki kikamilifu kuisambaratisha NCCR mageuzi wakati wa Mrema
3. alimfungulia kesi Halima Mdee kule Kawe huku akijua kuwa yeye alikuwa mshindi wa tatu, na kwa vyo vyote vile CCM wangekuwa beneficiary kama Mdee angeshindwa ile kesi.
4. alishiriki kumwengua David Kafulila uanachama na hivyo kuuweka ubunge huo mashakani
Ninazo habari za karibu kuwa mbatia anatumiwa na mafisadi walioko kwenye kambi za urais za CCM, wanampigia chapuo ili achukue nafasi ya Zitto huko POAC, ifikapo 2015 ameahidiwa kuwa atasaidiwa pesa za kampeni ili chama chake cha NCCR kipate wabunge angalua wengi kuliko CHADEMA na kuwa upinzani rasmi bungeni. FUATILIENI KWA KARIBU NA SIKU MOJA MTAKUMBUKA THREAD HII
James Mbatia ni mwanasiasa mwenye utata mwingi kuhusu kile aanachosimamia, mfano:
1. ndiye aliyeongoza kampeni miaka ya nyuma ile ilyohakikisha CUF kule Zanzibar imekosa wabunge 6 wakati ule akitumiwa na CCM, na bado anajulikana kama mpinzani
2. alishiriki kikamilifu kuisambaratisha NCCR mageuzi wakati wa Mrema
3. alimfungulia kesi Halima Mdee kule Kawe huku akijua kuwa yeye alikuwa mshindi wa tatu, na kwa vyo vyote vile CCM wangekuwa beneficiary kama Mdee angeshindwa ile kesi.
4. alishiriki kumwengua David Kafulila uanachama na hivyo kuuweka ubunge huo mashakani
Ninazo habari za karibu kuwa mbatia anatumiwa na mafisadi walioko kwenye kambi za urais za CCM, wanampigia chapuo ili achukue nafasi ya Zitto huko POAC, ifikapo 2015 ameahidiwa kuwa atasaidiwa pesa za kampeni ili chama chake cha NCCR kipate wabunge angalua wengi kuliko CHADEMA na kuwa upinzani rasmi bungeni. FUATILIENI KWA KARIBU NA SIKU MOJA MTAKUMBUKA THREAD HII