Mbaraka Mwinshehe-Shida

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,639
Artist: Mbaraka Mwinshehe
Song : Shida


(instrumental)
Hakuna kitu kibaya humu duniani kama shida,
haichagui mtu, siku,mwana,mwaka,
Haina katu taarifa, shida huingia,
shida bila hodi, si mtoto wala mkubwa, shida o-o
Kila siku shida, shida, yaishi hadi siku ya mwisho,


(Instrumental)
Shida kamwe haikosekani, hadi siku ya harusi,
Na uwe na mapesa mengi, ipo shida o-o,
Haina ngoja, au haina popote shida hutokeza,
Kwa masikini, matajiri wote shida,
Kila siku shida, shida, yaishi hadi siku ya mwisho,



(Instrumental)
Hakuna kitu kibaya humu duniani kama shida, haichagui mtu, siku,mwana,mwaka,
Haina katu taarifa, shida huingia, shida bila hodi, si mtoto wala mkubwa, shida o-o
Kila siku shida, shida, yaishi hadi siku ya mwisho-o-o,



(Instrumental)
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
Kila siku shida, o-o shida, o-o shida,
Mpaka siku ya mwisho, o-o shida,
Na uwe na mapesa mengi, o-o shida,
Kwa masikini, matajiri, o-o shida,
Shida mahali popote hutokeza, o-o shida,
Ndungu kila siku hauna pesa, o-o shida,
Mama a-a-o, o-o shida,
Baba a-a-o, o-o shida,
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,



( Instrumental)
(Shida haina ngoja ngoja, shida haikosekani, shida popote hutokeza, ukizama shida,
Hukukujia siku hauna pesa kabisa, uwe na mapesa mingi taaabu, uwe fukara shida ndio kabisa, shida kitu cha ajabu sana, mpaka siku ya mwisho iko shida, shida)



( Instrumental)
(shida haimujui mtu, wala siku, wala mwaka, shida hutokea ghafla, kitu kibaya ahida)


( Instrumental)
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
Kila siku shida, o-o shida, o-o shida,
Mpaka siku ya mwisho, o-o shida,
Na uwe na mapesa mengi, o-o shida,
Kwa masikini, matajiri, o-o shida,
Shida mahali popote hutokeza, o-o shida,
Ndungu kila siku hauna pesa, o-o shida,
Mama a-a-o, o-o shida,
Baba a-a-o, o-o shida,
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,



( Instrumental)
(oh oh shida, haijui serekali)


( Instrumental)
Shida haina ngoja,ngoja, o-o shida, o-o shida,
o-o shida, o-o shida,
shida mpaka siku ya mwisho, o-o shida,
na uwe na pesa mingi, o-o shida,
masikini matajiri, o-o shida,
shida utokeza mahali popote, o-o shida,
uwe hauna pesa, o-o shida,



( Instrumental)
 
shida haina mbabe
 
Hawa jamani nyimbo zao zipo kama Pai yaani miaka nenda rudi zipo tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…