Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,752
Sioni tija kwenye hii sred
Usimfananishe zitto na hyo mbeba box pia ana mtt nan kakwambia dr slaa hana mke? Labda nae kama mdee asubiri aolewe wamafia waungwana hawaongozwi na FULE!!
Tulitegemea CHADEMA wangemsimamisha mtu Mafia lakini wako bize na mambo haya:Ndio uzuri wa JF, kukhabarishana, kumbe Slaa ameshaoa? mimi nilisikia tu ana mchumba na baadae nikasikia kuwa ni mjamzito, je alishaoa , tafadhali tujuze !
Ndio uzuri wa JF, kukhabarishana, kumbe Slaa ameshaoa? mimi nilisikia tu ana mchumba na baadae nikasikia kuwa ni mjamzito, je alishaoa , tafadhali tujuze !