Mbao za Mkongo vs Mninga

bbyfay

Member
Jun 3, 2013
26
3
Habari wanajamiiforum,

Napenda kuuliza kati ya mbao za Mkongo na Mninga, zipi ni nzuri zaidi au bora zaidi kwa kutengenezea furnitures kama vile kitanda na kabati?

Ahsanteni
 
Mkongo na Mninga zote ziko bomba, Mninga siku hizi ni nyara ya serikali kama utabahatika ukapata Mkongo tembea nao.
 
Back
Top Bottom