MpodoHabari wanajamiiforum,
Napenda kuuliza kati ya mbao za Mkongo na Mninga, zipi ni nzuri zaidi au bora zaidi kwa kutengenezea furnitures kama vile kitanda na kabati?
Ahsanteni
Nina Mninga Mkuu na vibali ninavyo vyote, njoo inbox tufanye biasharaMkongo na Mninga zote ziko bomba, Mninga siku hizi ni nyara ya serikali kama utabahatika ukapata Mkongo tembea nao.
Nashukuru sana mkuunina Mninga Mkuu na vibali ninavyo vyote, njoo inbox tufanye biashara
okayMpodo
okay....ahsante sanaMkongo na Mninga zote ziko bomba, Mninga siku hizi ni nyara ya serikali kama utabahatika ukapata Mkongo tembea nao.
nina Mninga Mkuu na vibali ninavyo vyote, njoo inbox tufanye biashara
Mgama na Mkongo kwenye flame za milango upi ni bora zaidinina Mninga Mkuu na vibali ninavyo vyote, njoo inbox tufanye biashara