Waziri Ezekiel Maige alivyokuwa Rombo wiki 2 zilizopita alisema Mbao zitapunguzwa bei ili wana vijiji wanaoishi rombo na karibu na misitu wasivune miti kwa ajili ya ujenzi. Itatekelezeka?? Hakutoa time frame....
Pia leo nimesikia leo radio one, kuna mradi wa misitu umeanzishwa na SUA wa kupanda miti asili.. Wananchi watapewa miche ya miti asili ili wapande. Kwa nini mradi kama huo usienezwe nchi nzima??
Pia leo nimesikia leo radio one, kuna mradi wa misitu umeanzishwa na SUA wa kupanda miti asili.. Wananchi watapewa miche ya miti asili ili wapande. Kwa nini mradi kama huo usienezwe nchi nzima??