Nimeangalia ligi kuu ya Tanzania muda mrefu sana lakini hadi sasa hakuna timu iliyofikia kiwango cha uchezaji mpira wa kuvutia kama walivyokuwa pamba ya mwanza tp lindanda ya miaka ya 1990's ,ni simba tu ndiyo inaonyesha taswira halisi ya mpira wa enzi hizo!
Kiukweli kama kuna mtu alishuhudia mpira wa kina Hussein masha, George masatu, Mao mkami, Paul Rwechungura nk hakika soka la sasa la timu kama Yanga, Ihefu, Mbeya city, Coastal Union, JKT Tanzania, Namungo nk unaweza lifananisha na timu za daraja la tatu enzi hizo kama Lumumba rovers, coop united, Mandela fc, Toto African nk!
Kiukweli kama kuna mtu alishuhudia mpira wa kina Hussein masha, George masatu, Mao mkami, Paul Rwechungura nk hakika soka la sasa la timu kama Yanga, Ihefu, Mbeya city, Coastal Union, JKT Tanzania, Namungo nk unaweza lifananisha na timu za daraja la tatu enzi hizo kama Lumumba rovers, coop united, Mandela fc, Toto African nk!