Mbali na mke, kuna mwanafamilia mwingine aliyemtembelea Lissu Nairobi?

Nakumbuka tangu Lissu alipopatwa na mkasa wa kushambuliwa kwa risasi na watu wasiyojulikana pale Dodoma, mtu kutoka familia yake aliyekuwepo ni mke wake.

Watu watatu walioondoka na mgonjwa kwenda Nairobi ni mke wake, Mbowe na Msigwa, wote hao hawajarudi Tanzania, wamepiga kambi huko ni jambo jema.

Wanachama wa CHADEMA hususan wabunge wanapishana barabarani na angani kutoka na kwenda Nairobi kumusabahi Lissu na camera za video kama kawa zinatuonesha, huo ndio utu. Hata wasio wana chama wa CHADEMA(Hongera sana Mh. Zitto Kabwe, wewe ni Shujaa kwenye sakata hili la Lissu, kwa jinsi Lissu alivyosimamia wewe kusulubiwa, sijui kama ni wewe ndiyo ungekuwa ulimtenda Lissu, Kwa roho ya Lissu sijui kama angethubutu hata kutaka kujua umelazwa wapi. Wewe ni mkomavu wa kisiasa) nao wanamiminika Nairobi.

Mbali na Mke wa Lissu, mwanafamilia mwingine aliyebahatika kumuona Lissu baada ya kushambuliwa ni nani? Kama ni hamna, kuna maswali mengi ya kujiuliza:

1. Lissu hana ndugu wengine?

2. Ndugu wapo ila hawana uwezo wa kiuchumi kuwawezesha kufika Nairobi?

3.Hawa waliopiga Kambi Nairobi wana uchungu na Lissu kuliko Ndugu zake?

4. Lissu hana mahusiano mazuri na ndugu zake? (hii halina uzito sana sababu kwa mila zetu za kiafrika, wakati matatizo ndipo tofauti zote katika familia zinapozikwa.

5. Kuna kitu familia hii inafichwa?


Jamani tutumie matukio kujipatia umaarufu wa kisiasa lakini tukumbuke vitu vidogo sana vinavyoweza kutufanya tusieleweke mbele ya jamii.

Tuoneshwe kupitia camera na video ndugu wakimtembelea ndugu yao hospitalini kama ambavyo wanasiasa wanavyoonekana huko.

Kwa mtazamo wangu, Huruma kwa Lissu ingeongezeka zaidi kama ndugu zake wangeonekana wakisitika pamoja na ndugu yao. Hawa wanasiasa tutaishia tu kusema wamepata pa kupatia umaarufu. "WANAFANYA SIASA"

Mnawashwa washwa saaaana, nawahakikishieni damu ya Lissu itawatesa sana siku zote za maisha yenu mpaka mnaingia kaburini hizo theories zenu za kipumbavu ndiyo zinazidi kudhihirisha ushiriki wenu katika jaribio la kumuua Lissu. Hivi mpaka sasa hamjajistukia kuwa mnaropoka ropoka ikiwa ni ishara ya kuchanganyikiwa kwenu. Mlilolitaka halikuwa kwani ile ni damu isiyo na hatia, na kama Mungu aishivyo hamtabaki salama.
 
Trump 2 hauko sahihi,mbona ndugu wengi tu wafamilia pamoja na wakazi kibao wa ARK na Singida wamekwenda.
Pili.....nikuombe uamasishe mshikamano,umoja na upendo baina yetu,haya mambo ni ya kupita tu, utanzania wetu lazima ubaki.
Acha kutudanganya. Weka. Picha zinazoonesha ndugu wako hospitali. Hizi siyo zama. za kuuziwa. Mbuzi kwenye gunia. Usije na. Vipropaganda uchwara hapa. Chadema. Wamemlipa mpiga picha yuko hospitali masaa 24 lengo ni kujipatia umaarufu, hao ndugu ndo wame make headline
 
Nakumbuka tangu Lissu alipopatwa na mkasa wa kushambuliwa kwa risasi na watu wasiyojulikana pale Dodoma, mtu kutoka familia yake aliyekuwepo ni mke wake.

Watu watatu walioondoka na mgonjwa kwenda Nairobi ni mke wake, Mbowe na Msigwa, wote hao hawajarudi Tanzania, wamepiga kambi huko ni jambo jema.

Wanachama wa CHADEMA hususan wabunge wanapishana barabarani na angani kutoka na kwenda Nairobi kumusabahi Lissu na camera za video kama kawa zinatuonesha, huo ndio utu. Hata wasio wana chama wa CHADEMA(Hongera sana Mh. Zitto Kabwe, wewe ni Shujaa kwenye sakata hili la Lissu, kwa jinsi Lissu alivyosimamia wewe kusulubiwa, sijui kama ni wewe ndiyo ungekuwa ulimtenda Lissu, Kwa roho ya Lissu sijui kama angethubutu hata kutaka kujua umelazwa wapi. Wewe ni mkomavu wa kisiasa) nao wanamiminika Nairobi.

Mbali na Mke wa Lissu, mwanafamilia mwingine aliyebahatika kumuona Lissu baada ya kushambuliwa ni nani? Kama ni hamna, kuna maswali mengi ya kujiuliza:

1. Lissu hana ndugu wengine?

2. Ndugu wapo ila hawana uwezo wa kiuchumi kuwawezesha kufika Nairobi?

3.Hawa waliopiga Kambi Nairobi wana uchungu na Lissu kuliko Ndugu zake?

4. Lissu hana mahusiano mazuri na ndugu zake? (hii halina uzito sana sababu kwa mila zetu za kiafrika, wakati matatizo ndipo tofauti zote katika familia zinapozikwa.

5. Kuna kitu familia hii inafichwa?


Jamani tutumie matukio kujipatia umaarufu wa kisiasa lakini tukumbuke vitu vidogo sana vinavyoweza kutufanya tusieleweke mbele ya jamii.

Tuoneshwe kupitia camera na video ndugu wakimtembelea ndugu yao hospitalini kama ambavyo wanasiasa wanavyoonekana huko.

Kwa mtazamo wangu, Huruma kwa Lissu ingeongezeka zaidi kama ndugu zake wangeonekana wakisitika pamoja na ndugu yao. Hawa wanasiasa tutaishia tu kusema wamepata pa kupatia umaarufu. "WANAFANYA SIASA"
Wapo ndugu wengi lakini hawataki muwajue hasa wewe Jerry muro, Lipumba na Le mutuz mnaweza kupeleka taarifa zao kwa Maliyamungu Bashite waanze kuwagasi kuwasumbua kuwapeleleza eza, Ndugu wa Lisu wapo makini hawana story wapo Nairobi wengine wanakwenda na kurudi lakini hawataki nyie watu ti wabaya muwafahamu kabsa.
 
Mbona akina. Mbowe na wabunge. wengine wanajipiga Selfie. Hata hivyo ni jukumu.la.Chama.hilo, na kwa jinsi. Chadema. Wanavyopenda sifa. hao ndugu wangeenda , tungeona picha.
Ushasema kina mbowe na wabunge, hao unawajua na wanajulikana, hao wengine hawakuhusu kwahiyo kaa kimya.
 
Nakumbuka tangu Lissu alipopatwa na mkasa wa kushambuliwa kwa risasi na watu wasiyojulikana pale Dodoma, mtu kutoka familia yake aliyekuwepo ni mke wake.

Watu watatu walioondoka na mgonjwa kwenda Nairobi ni mke wake, Mbowe na Msigwa, wote hao hawajarudi Tanzania, wamepiga kambi huko ni jambo jema.

Wanachama wa CHADEMA hususan wabunge wanapishana barabarani na angani kutoka na kwenda Nairobi kumusabahi Lissu na camera za video kama kawa zinatuonesha, huo ndio utu. Hata wasio wana chama wa CHADEMA(Hongera sana Mh. Zitto Kabwe, wewe ni Shujaa kwenye sakata hili la Lissu, kwa jinsi Lissu alivyosimamia wewe kusulubiwa, sijui kama ni wewe ndiyo ungekuwa ulimtenda Lissu, Kwa roho ya Lissu sijui kama angethubutu hata kutaka kujua umelazwa wapi. Wewe ni mkomavu wa kisiasa) nao wanamiminika Nairobi.

Mbali na Mke wa Lissu, mwanafamilia mwingine aliyebahatika kumuona Lissu baada ya kushambuliwa ni nani? Kama ni hamna, kuna maswali mengi ya kujiuliza:

1. Lissu hana ndugu wengine?

2. Ndugu wapo ila hawana uwezo wa kiuchumi kuwawezesha kufika Nairobi?

3.Hawa waliopiga Kambi Nairobi wana uchungu na Lissu kuliko Ndugu zake?

4. Lissu hana mahusiano mazuri na ndugu zake? (hii halina uzito sana sababu kwa mila zetu za kiafrika, wakati matatizo ndipo tofauti zote katika familia zinapozikwa.

5. Kuna kitu familia hii inafichwa?


Jamani tutumie matukio kujipatia umaarufu wa kisiasa lakini tukumbuke vitu vidogo sana vinavyoweza kutufanya tusieleweke mbele ya jamii.

Tuoneshwe kupitia camera na video ndugu wakimtembelea ndugu yao hospitalini kama ambavyo wanasiasa wanavyoonekana huko.

Kwa mtazamo wangu, Huruma kwa Lissu ingeongezeka zaidi kama ndugu zake wangeonekana wakisitika pamoja na ndugu yao. Hawa wanasiasa tutaishia tu kusema wamepata pa kupatia umaarufu. "WANAFANYA SIASA"

Siyo kila anaeenda Kenya kumuona Lissu awe anaripoti kwako?
Mimi ni mkazi na mpiga kura wa jimboni kwa Lissu, mlipomuumiza tu Dodoma zilienda basi costa 6 zenye watu mchanganyiko, ndugu, jamaa na marafiki wa Lissu.

Taarifa imetoka kua anapelekwa Kenya, siku inayofuata zilitoka Toyota noa 3 to Nairobi.
Wanasingida mashariki tunasema jimbo hili hata Lissu mngemuua, tungempendekeza na kumpitisha mtu yoyote hata kama kichaa to CHADEMA ilimradi tuwaonyeshe na lichama lenu chakavu hatuwataki iwe kwa pesa ama mabavu.

Mtoa post hii wewe ni mtu mbaya sana na uwe sehemu ya watakaopitiwa na albadri.
 
Mt
Nakumbuka tangu Lissu alipopatwa na mkasa wa kushambuliwa kwa risasi na watu wasiyojulikana pale Dodoma, mtu kutoka familia yake aliyekuwepo ni mke wake.

Watu watatu walioondoka na mgonjwa kwenda Nairobi ni mke wake, Mbowe na Msigwa, wote hao hawajarudi Tanzania, wamepiga kambi huko ni jambo jema.

Wanachama wa CHADEMA hususan wabunge wanapishana barabarani na angani kutoka na kwenda Nairobi kumusabahi Lissu na camera za video kama kawa zinatuonesha, huo ndio utu. Hata wasio wana chama wa CHADEMA(Hongera sana Mh. Zitto Kabwe, wewe ni Shujaa kwenye sakata hili la Lissu, kwa jinsi Lissu alivyosimamia wewe kusulubiwa, sijui kama ni wewe ndiyo ungekuwa ulimtenda Lissu, Kwa roho ya Lissu sijui kama angethubutu hata kutaka kujua umelazwa wapi. Wewe ni mkomavu wa kisiasa) nao wanamiminika Nairobi.

Mbali na Mke wa Lissu, mwanafamilia mwingine aliyebahatika kumuona Lissu baada ya kushambuliwa ni nani? Kama ni hamna, kuna maswali mengi ya kujiuliza:

1. Lissu hana ndugu wengine?

2. Ndugu wapo ila hawana uwezo wa kiuchumi kuwawezesha kufika Nairobi?

3.Hawa waliopiga Kambi Nairobi wana uchungu na Lissu kuliko Ndugu zake?

4. Lissu hana mahusiano mazuri na ndugu zake? (hii halina uzito sana sababu kwa mila zetu za kiafrika, wakati matatizo ndipo tofauti zote katika familia zinapozikwa.

5. Kuna kitu familia hii inafichwa?


Jamani tutumie matukio kujipatia umaarufu wa kisiasa lakini tukumbuke vitu vidogo sana vinavyoweza kutufanya tusieleweke mbele ya jamii.

Tuoneshwe kupitia camera na video ndugu wakimtembelea ndugu yao hospitalini kama ambavyo wanasiasa wanavyoonekana huko.

Kwa mtazamo wangu, Huruma kwa Lissu ingeongezeka zaidi kama ndugu zake wangeonekana wakisitika pamoja na ndugu yao. Hawa wanasiasa tutaishia tu kusema wamepata pa kupatia umaarufu. "WANAFANYA SIASA"
Mtahoji mpaka yasiyohojika ili kuzima ukweli lakini ukweli ni kwamba serikali ya magufuli kupitia kwa wakala wake bashite amehusika kutaka kutoa uhai wa lisu! Hao ndugu we wanakuhusu nn? Huyo zitto tangu lini akawa mwema kwako?
Mwambieni magufuli huku vijijini tunasubiri zile 'll 50 zetu. Kata yetu ina vijiji 15.mliahidi leteni
 
Kwa jinsi hali ya Lisu ilovyo na kwa jinsi alovyoshambuliwa na kwa hali ya watu wa vijijini waache wakae kwanza singida Lisu akipona wataenda nyumbani kumuona.kufika nairobi kwa mtu wa kule Ikungi siyo rahisi kama mdhaniavyo
 
Mbona akina. Mbowe na wabunge. wengine wanajipiga Selfie. Hata hivyo ni jukumu.la.Chama.hilo, na kwa jinsi. Chadema. Wanavyopenda sifa. hao ndugu wangeenda , tungeona picha.
Ndugu wa Lisu hawataki nyie wambea muwajue wao wameenda kumjulia hali kimya kimya ujue walikerwa na tabia yenu ya kuchimba chimba mambo ya familia
 
Threads zingine ni za kutaka ku-divert attention ya wàtu wasihoji uchunguzi ulipofikia, make hazina maana kabisa.

Ndgu zake waende wasiende, how does that concern you? na kama wewe amekugusa sana, mbona hujaenda Nairobi kumuona?

Naona perpetrators wa huu uhalifu mnahangaika sana.
 
Nakumbuka tangu Lissu alipopatwa na mkasa wa kushambuliwa kwa risasi na watu wasiyojulikana pale Dodoma, mtu kutoka familia yake aliyekuwepo ni mke wake.

Watu watatu walioondoka na mgonjwa kwenda Nairobi ni mke wake, Mbowe na Msigwa, wote hao hawajarudi Tanzania, wamepiga kambi huko ni jambo jema.

Wanachama wa CHADEMA hususan wabunge wanapishana barabarani na angani kutoka na kwenda Nairobi kumusabahi Lissu na camera za video kama kawa zinatuonesha, huo ndio utu. Hata wasio wana chama wa CHADEMA(Hongera sana Mh. Zitto Kabwe, wewe ni Shujaa kwenye sakata hili la Lissu, kwa jinsi Lissu alivyosimamia wewe kusulubiwa, sijui kama ni wewe ndiyo ungekuwa ulimtenda Lissu, Kwa roho ya Lissu sijui kama angethubutu hata kutaka kujua umelazwa wapi. Wewe ni mkomavu wa kisiasa) nao wanamiminika Nairobi.

Mbali na Mke wa Lissu, mwanafamilia mwingine aliyebahatika kumuona Lissu baada ya kushambuliwa ni nani? Kama ni hamna, kuna maswali mengi ya kujiuliza:

1. Lissu hana ndugu wengine?

2. Ndugu wapo ila hawana uwezo wa kiuchumi kuwawezesha kufika Nairobi?

3.Hawa waliopiga Kambi Nairobi wana uchungu na Lissu kuliko Ndugu zake?

4. Lissu hana mahusiano mazuri na ndugu zake? (hii halina uzito sana sababu kwa mila zetu za kiafrika, wakati matatizo ndipo tofauti zote katika familia zinapozikwa.

5. Kuna kitu familia hii inafichwa?


Jamani tutumie matukio kujipatia umaarufu wa kisiasa lakini tukumbuke vitu vidogo sana vinavyoweza kutufanya tusieleweke mbele ya jamii.

Tuoneshwe kupitia camera na video ndugu wakimtembelea ndugu yao hospitalini kama ambavyo wanasiasa wanavyoonekana huko.

Kwa mtazamo wangu, Huruma kwa Lissu ingeongezeka zaidi kama ndugu zake wangeonekana wakisitika pamoja na ndugu yao. Hawa wanasiasa tutaishia tu kusema wamepata pa kupatia umaarufu. "WANAFANYA SIASA"
Matibabu ya Lissu ni Gharama ni tofauti na Matatibabu ya mtaani kwenu Lazima kuwe na watu ambao wanaweza ku organize Pesa and A,B,C
 
Kwa jinsi hali ya Lisu ilovyo na kwa jinsi alovyoshambuliwa na kwa hali ya watu wa vijijini waache wakae kwanza singida Lisu akipona wataenda nyumbani kumuona.kufika nairobi kwa mtu wa kule Ikungi siyo rahisi kama mdhaniavyo
Mie nipo hapa Nairobi taarifa zilizopo hapa wapo ndugu zake wengi, kaka yake wadogo zake baba wadogo Waomba na ndugu wengine wengi lakini wao hawataki kujionyesha na hawataki kikundi cha Le mutuz house boy wa Bashite kiwafahamu kabsa
 
Mie nipo hapa Nairobi taarifa zilizopo hapa wapo ndugu zake wengi, kaka yake wadogo zake baba wadogo Waomba na ndugu wengine wengi lakini wao hawataki kujionyesha na hawataki kikundi cha Le mutuz house boy wa Bashite kiwafahamu kabsa
Hapo sawa yawezekana.maana tunaowaona ni wale wanaofika na kutaka wajulikane wamefika kwa kupiga mipicha na kupost
 
Threads zingine ni za kutaka ku-divert attention ya wàtu wasihoji uchunguzi ulipofikia, make hazina maana kabisa.

Ndgu zake waende wasiende, how does that concern you? na kama wewe amekugusa sana, mbona hujaenda Nairobi kumuona?

Naona perpetrators wa huu uhalifu mnahangaika sana.
Mleta Mada ni kikundi cha Le mutuz kinachofadhiliwa na Maliyamungu Bashite wanasaka taarifa ili wajue kama hawapo au wapo na kama wapo kenya waende kuchoma nyumba zao kama walivyozichoma nyumba za Zito Kabwe.
 
Nakumbuka tangu Lissu alipopatwa na mkasa wa kushambuliwa kwa risasi na watu wasiyojulikana pale Dodoma, mtu kutoka familia yake aliyekuwepo ni mke wake.

Watu watatu walioondoka na mgonjwa kwenda Nairobi ni mke wake, Mbowe na Msigwa, wote hao hawajarudi Tanzania, wamepiga kambi huko ni jambo jema.

Wanachama wa CHADEMA hususan wabunge wanapishana barabarani na angani kutoka na kwenda Nairobi kumusabahi Lissu na camera za video kama kawa zinatuonesha, huo ndio utu. Hata wasio wana chama wa CHADEMA(Hongera sana Mh. Zitto Kabwe, wewe ni Shujaa kwenye sakata hili la Lissu, kwa jinsi Lissu alivyosimamia wewe kusulubiwa, sijui kama ni wewe ndiyo ungekuwa ulimtenda Lissu, Kwa roho ya Lissu sijui kama angethubutu hata kutaka kujua umelazwa wapi. Wewe ni mkomavu wa kisiasa) nao wanamiminika Nairobi.

Mbali na Mke wa Lissu, mwanafamilia mwingine aliyebahatika kumuona Lissu baada ya kushambuliwa ni nani? Kama ni hamna, kuna maswali mengi ya kujiuliza:

1. Lissu hana ndugu wengine?

2. Ndugu wapo ila hawana uwezo wa kiuchumi kuwawezesha kufika Nairobi?

3.Hawa waliopiga Kambi Nairobi wana uchungu na Lissu kuliko Ndugu zake?

4. Lissu hana mahusiano mazuri na ndugu zake? (hii halina uzito sana sababu kwa mila zetu za kiafrika, wakati matatizo ndipo tofauti zote katika familia zinapozikwa.

5. Kuna kitu familia hii inafichwa?


Jamani tutumie matukio kujipatia umaarufu wa kisiasa lakini tukumbuke vitu vidogo sana vinavyoweza kutufanya tusieleweke mbele ya jamii.

Tuoneshwe kupitia camera na video ndugu wakimtembelea ndugu yao hospitalini kama ambavyo wanasiasa wanavyoonekana huko.

Kwa mtazamo wangu, Huruma kwa Lissu ingeongezeka zaidi kama ndugu zake wangeonekana wakisitika pamoja na ndugu yao. Hawa wanasiasa tutaishia tu kusema wamepata pa kupatia umaarufu. "WANAFANYA SIASA"

Maneno mengi sana.Muda mfupi umeweka bandiko lako hapa Lissu ni Marehemu sasa hao ndugu wanaenda kumuona Marehemu??Kama ni marehemu si wasubiri makaburini??

Mnajua kuna wakati nyi UVCCM hamtumii akili kabisa kabisa.Akili zenu mnazijua wenyewe.Hivi unaweza kumlazimisha kumtoa mtu Dar umpeleke NRB au ni pale anapoona sasa inafaa kwenda kumuona nudgu yangu??

Hivi Mke na mtoto wa mjomba nani yuko karibu na Lissu??Hao ndugu zake walipomkabidhi Lissu mke hawakujua ndiyo msemaji badala yao!

Tusichukulie kila kitu ni chuki na visasi.Mbowe ni Mwenyekiti wake kwenye Chama,ni Boss wake kwenye Chama huwezi kusema hahusiki,asingekuwepo mngerusha midomo mpaka sayari ya tatu isikike upande wa pili.

Ukumbuke wenye ndugu wanawazazi walizaidi ya miaka 70 nakuendelea.Hawa kisaikolojia ni wagonjwa pia.Hao ndugu nane waliobaki kisaikolojia ni wagonjwa.

Huku nyuma Mke wa Lissu ameacha watoto nyumbani anamuuguza mumewe,mnafikiria nyumbani kwa Lissu amebaki nani kuangalia hao watoto??Mbaya zaidi watoto ni wagonjwa mara mia zaidi baba yao mpendwa hawamuoni wanasikia tu amepigwa risasi kadhaa na yuko hospitali,hawajui kama kesho watamuona,nyie mmebaki kwenye mitandao mkiandika pumba tu sababu ya chuki na visasi,mnatia aibu na kinyaa.Hakika hamstahili hata kuitwa binadamu
 
Hapo sawa yawezekana.maana tunaowaona ni wale wanaofika na kutaka wajulikane wamefika kwa kupiga mipicha na kupost
Le mutuz kawatuma vijana wake huku Nairobi waje kutengeneza Udaku bahati nzuri wengi wanawafahamu pia ndugu wa Lisu wapo makini itakuwa vigumu kuwaona na kuwajua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom