Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,245
- 2,848
Poleni sana na matatizo yanayoendelea nchini niseme ukweli najuta kuzaliwa nchi hizi za kiafrika.
Tukiachana na hayo kuna tukio limetokea huku kijijini kwetu mtoto wa miaka 16 hivi alibakwa na wabakaji
Sungusugu wakafanikiwa kuwakamata vijana wawili waliohusika na ubakaji cha ajabu
Mbakaji ameoa leo ndio wanapanga mahari nimeumia sana. Duh
Tukiachana na hayo kuna tukio limetokea huku kijijini kwetu mtoto wa miaka 16 hivi alibakwa na wabakaji
Sungusugu wakafanikiwa kuwakamata vijana wawili waliohusika na ubakaji cha ajabu
Mbakaji ameoa leo ndio wanapanga mahari nimeumia sana. Duh