UnfrUnder age???? Au ni tamaduni za kikoloni????
Both na akili finyu piaUnder age???? Au ni tamaduni za kikoloni????
Unfr
Both na akili finyu pia
Mtoto hana ata ID aitwe mtu mzima this is crazyMnawapumbaza watoto wenu kwa kufatisha age format
Mtoto Kama Ana miaka 14 anabidi kuitwa mtu mzima na anabaidi kuanza kuingia katika shughuli za uzalishaji Mali .
Akili finyu hizo, wewe unataka aendelee kumrape kila siku? Mtoto wa kike kosa lake nini hadi alazimishwe kuolewa na mhalifu?Kwahiyo ulitakaje, amre uloda halafu asimchukue na kumtunza?
Pimbi wewe kama unaijua sheria nenda kashitaki mahakamani siyo unatupiga makelele hapa.Akili finyu hizo, wewe unataka aendelee kumrape kila siku? Mtoto wa kike kosa lake nini hadi alazimishwe kuolewa na mhalifu?
Nakuwacha na ujinga wako, sibishani wala kujadili na mtu asokuwa na heshima. Jifunze ustaarabu.Pimbi wewe kama unaijua sheria nenda kashitaki mahakamani siyo unatupiga makelele hapa.