Mbadala au plan B ni muhimu kwenye maisha

cacutee

JF-Expert Member
Apr 9, 2024
355
953
Guys good evening
Tunaishi Kwenye dunia ambayo huruma ilishapungua kwa binadamu. Watu hawahurumii hisia za wenzao kabisa.
Mtu anaweza akaamka na akaona hawezi kuendelea kuwa na wewe, au unakuta mtu amewapanga kwahiyo kukatisha huba kwa yeyote ni muda wowote.

Sasa katika Hali hii ile formular ya kutenganisha Mayai na kutoyaweka pamoja itakusaidia ili kuepusha hasara yakivunjika yote au ile ya distribution of risk itasaidia Sana.

Mwanamke hupaswi kuweka tumaini lako kwa mtu mmoja ili akizingua usiumie. Yani ikitokea amezingua unaandika nne unatafuta wine unashushia unapigia figa LA pili unacheeeeka siku inaisha.

Usije kusema hukuambiwa.
Jioni njema
 
Guys good evening
Tunaishi Kwenye dunia ambayo huruma ilishapungua kwa binadamu. Watu hawahurumii hisia za wenzao kabisa.
Mtu anaweza akaamka na akaona hawezi kuendelea kuwa na wewe, au unakuta mtu amewapanga kwahiyo kukatisha huba kwa yeyote ni muda wowote.

Sasa katika Hali hii ile formular ya kutenganisha Mayai na kutoyaweka pamoja itakusaidia ili kuepusha hasara yakivunjika yote au ile ya distribution of risk itasaidia Sana.

Mwanamke hupaswi kuweka tumaini lako kwa mtu mmoja ili akizingua usiumie. Yani ikitokea amezingua unaandika nne unatafuta wine unashushia unapigia figa LA pili unacheeeeka siku inaisha.

Usije kusema hukuambiwa.
Jioni njema
FB_IMG_17145573286537657.jpg
 
Guys good evening
Tunaishi Kwenye dunia ambayo huruma ilishapungua kwa binadamu. Watu hawahurumii hisia za wenzao kabisa.
Mtu anaweza akaamka na akaona hawezi kuendelea kuwa na wewe, au unakuta mtu amewapanga kwahiyo kukatisha huba kwa yeyote ni muda wowote.

Sasa katika Hali hii ile formular ya kutenganisha Mayai na kutoyaweka pamoja itakusaidia ili kuepusha hasara yakivunjika yote au ile ya distribution of risk itasaidia Sana.

Mwanamke hupaswi kuweka tumaini lako kwa mtu mmoja ili akizingua usiumie. Yani ikitokea amezingua unaandika nne unatafuta wine unashushia unapigia figa LA pili unacheeeeka siku inaisha.

Usije kusema hukuambiwa.
Jioni njema
Na hizo plan B na zenyewe zina plan B, C, D, XYZ utajua hujui.
 
Hivi nyie wenzetu hamnaga mambo ya msingi ya kuwaza..? Maisha hayawapi challenge nyingine yeyote isipokuwa mapenzi..? Yaani wewe jumamosi ya leo ni ya mwisho wa mwezi, watu tushapigika week nzima hapa kichwa hakifai alafu bado mnataka tuyawaze mapenzi..?
Muanzisha mada tafakari sana maisha yako, muelekeo unaoenda nao unapotea mdogo wangu.
 
Hivi nyie wenzetu hamnaga mambo ya msingi ya kuwaza..? Maisha hayawapi challenge nyingine yeyote isipokuwa mapenzi..? Yaani wewe jumamosi ya leo ni ya mwisho wa mwezi, watu tushapigika week nzima hapa kichwa hakifai alafu bado mnataka tuyawaze mapenzi..?
Muanzisha mada tafakari sana maisha yako, muelekeo unaoenda nao unapotea mdogo wangu.
Hata haya ni ya msingi
 
Back
Top Bottom