Mbabe SATANA alikufa au bado yu hai?

Mbabe SATANA alikufa au bado yu hai?

kibaizi kiki

Senior Member
Joined
Dec 23, 2012
Posts
160
Reaction score
39
Kwa wanaokumbuka miaka ya 80 kulikua na bwana akiitwa Santana. Huyu jamaa alikua mbabe sana akicheza karate. Kutwa nzima akishinda stendi za mabasi sanasana kituo cha manzese (msufini). Akiamua aliweza kupora chochote pasipo kufanywa chochote. Kuna wakati alisaidia wanafunzi kuingia kwenye mabasi makonda wakimuogopa kwelikweli. Ni zaidi ya miaka 25 sijamsikia tena
 
Kwa wanaokumbuka miaka ya 80 kulikua na bwana akiitwa Santana. Huyu jamaa alikua mbabe sana akicheza karate. Kutwa nzima akishinda stendi za mabasi sanasana kituo cha manzese (msufini). Akiamua aliweza kupora chochote pasipo kufanywa chochote. Kuna wakati alisaidia wanafunzi kuingia kwenye mabasi makonda wakimuogopa kwelikweli. Ni zaidi ya miaka 25 sijamsikia tena
mkuu wewe unatokea ng'ambo ya pili ya bahari ama?🙂
...sorry, OT!
 
Kwa wanaokumbuka miaka ya 80 kulikua na bwana akiitwa Santana. Huyu jamaa alikua mbabe sana akicheza karate. Kutwa nzima akishinda stendi za mabasi sanasana kituo cha manzese (msufini). Akiamua aliweza kupora chochote pasipo kufanywa chochote. Kuna wakati alisaidia wanafunzi kuingia kwenye mabasi makonda wakimuogopa kwelikweli. Ni zaidi ya miaka 25 sijamsikia tena

Ni santana au satana? Huyu sijui aliishia wapi, najua boss nigger yeye alifariki, hao wawili walikuwa maarufu sana kwa karate, pamoja na kocha wa yanga Tazan Kessy.
Mara ya mwisho kumuona Satana alikuwa anasaidia kwenye gate/milango ya kumbi za starehe, wakati wa mashindano ya disco enzi za kina black moses, athumani digadiga, tito jackson n.k. enzi za vikundi vya disco viitwavyo new edition na temptation.
 
Kuwa kimya bila kujulikana alipo kwa miaka yote hiyo... Anaweza kuwa ameshatangulia mbele ya haki,Ama yupo Mji mwingine...
 
Yupo ndio mimi hapa,ulikuwa unasemaje?
 
Kwa wanaokumbuka miaka ya 80 kulikua na bwana akiitwa Santana. Huyu jamaa alikua mbabe sana akicheza karate. Kutwa nzima akishinda stendi za mabasi sanasana kituo cha manzese (msufini). Akiamua aliweza kupora chochote pasipo kufanywa chochote. Kuna wakati alisaidia wanafunzi kuingia kwenye mabasi makonda wakimuogopa kwelikweli. Ni zaidi ya miaka 25 sijamsikia tena[/QUO

satana yupo na bado anaishi manzese ila kwa sasa ni mtu mzima na ni mswali hina swala tano na ni mtu mwenye uwezo kidogo anamiliki guest pale manzese waliuza nyumba yao ya ulithi ilikuwa pale manzese barabarani....kifupi yuko poa.
 
Kwa wanaokumbuka miaka ya 80 kulikua na bwana akiitwa Santana. Huyu jamaa alikua mbabe sana akicheza karate. Kutwa nzima akishinda stendi za mabasi sanasana kituo cha manzese (msufini). Akiamua aliweza kupora chochote pasipo kufanywa chochote. Kuna wakati alisaidia wanafunzi kuingia kwenye mabasi makonda wakimuogopa kwelikweli. Ni zaidi ya miaka 25 sijamsikia tena[/QUO

satana yupo na bado anaishi manzese ila kwa sasa ni mtu mzima na ni mswali hina swala tano na ni mtu mwenye uwezo kidogo anamiliki guest pale manzese waliuza nyumba yao ya ulithi ilikuwa pale manzese barabarani....kifupi yuko poa.


na cool nine je..mnamkumbuka wadau?? nafkiri huyu ndo mbabe maarufu sana
 
Kwa wanaokumbuka miaka ya 80 kulikua na bwana akiitwa Santana. Huyu jamaa alikua mbabe sana akicheza karate. Kutwa nzima akishinda stendi za mabasi sanasana kituo cha manzese (msufini). Akiamua aliweza kupora chochote pasipo kufanywa chochote. Kuna wakati alisaidia wanafunzi kuingia kwenye mabasi makonda wakimuogopa kwelikweli. Ni zaidi ya miaka 25 sijamsikia tena
Huyo Santana wako ni feki.
Nikifikiri unaongea Carlos Santana- the Great.
Ni wa siku nyingi sana na rekodi yake moja itakayokuacha hoi ni- Black Magic Woman
 
mambo ya ubabe wa kizamani,

inawezekana hujamsikia sababu pia nyakati zimebadilika,

sasa hivi leta ubabe mbuzi unapotezwa fwasta,
 
Huyo Santana aliwahi kuchukua kichapo kikali kutoka kwa Mkorea wa SKANPHIL COLAS pale Tip Top baada ya kuleta fujo za kiswahili kwenye ofisi za watu. Kuna lile jenereta lenye matairi ambalo wajenzi hulitumia site, basi karateka wenu huyo alilizima na kuwachapa makofi vibarua wanaojenga barabara.

Vijamaa si vikaenda kushtaki kwa foreman wao ambaye ni Mkorea, loh! Santana wenu alichukua kichapo kikali hadi akawa anatambaa tehe tehe tehe! Sijui kama hakupoteza vitafunio siku ile...tehe tehe tehe!
 
Gangwe kwa maana ya zamani haifa nani hata kidogo na sharobaro
Masharobaro ni warembo sana huwezi fananisha na magangwe enzi hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom