MBA: Open University of Tanzania

MBA: Open University of Tanzania

EXPULSION

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2015
Posts
407
Reaction score
303
Heshima zenu wana jukwaa,

Nahitaji kusoma MBA chuo kikuu huria, OUT, mwenye ufahamu ni jinsi gani natakiwa kuenenda, yaani wanadahili lini, gharama za kozi, muda gani ntachua kumaliza na mambo mengine yahusikayo, mana kwenye website yao sijafanikiwa kuona chochote katika tajwa hapo juu.

Msaada wenu ni wa muhimu sana

Nawasilisha
 
Okay,nenda kwa ofis zao watakupa mwongozo mzuri mimi nimefanya med in apps last year nimemaliza,wanakupa course outline na list ya vitabu,kazi kwako kusoma,muda inategemea na speed yako kumaliza unit
 
Right choice, tembele website yao na udownload prospectus. Utapata details zote
 
Okay,nenda kwa ofis zao watakupa mwongozo mzuri mimi nimefanya med in apps last year nimemaliza,wanakupa course outline na list ya vitabu,kazi kwako kusoma,muda inategemea na speed yako kumaliza unit

Mkuu ofisi zao kwa kanda ya ziwa zipo sehemu gani, vp udahili wao lini, na gharama zake kabla sijafika huko nipate mwongozo kidogo
 
Ndo muda wa kujaza form,ada zinatofautiana depends na course pia modality ya kusoma iko tofauti,kuna distance learning,kuna executive nafikiri na face to face system mimi nilifanya hiyo executive,niko dar kwa huko kanda ya ziwa sijajua bt kila mkoa wana ofisi ingia kwa web yao angalia
 
Ndo muda wa kujaza form,ada zinatofautianba depends na course pia modality ya kusoma iko tofauti,kuna distance learning,kuna executive nafikiri na face to face system mimi nilifanya hiyo executive,niko dar kwa huko kanda ya ziwa sijajua bt kila mkoa wana ofisi ingia kwa web yao angalia

Kwenye web yao nishaingia mara nyingi, hakuna maelezo ya kutosha,
 
mi pia nimemaliza open last year med apps hiki ndo kipindi cha ku apply kanda ya ziwa musoma wana tawi,shinyanga wana tawi na geita.kwa mwanza ofisi ipo jengo la ppf ukifika pale ulizia ofis za out utapelekwa.
 
Wakuu mimi sina uzoefu na mambo ya biashara, je ukizingatia kipengele namba 3, sitoweza sajiliwa

Ushauri wenu

Minimum Qualifications for a Master's Degree
(i) For admission to the Master's Degree of the Open University of Tanzania a
candidate shall either hold an honours degree of the Open University of Tanzania
or a qualification from an approved institution of higher learning, deemed to be
equivalent to an honours degree of the Open University of Tanzania.
(ii) Candidates who hold unclassified degrees should have a credit or, a distinction in
the subject of the intended Master's Degree. Candidates with a Pass Degree will
also be considered for admission if:-
37
• their undergraduate performance in the proposed subject of study was a B grade
average or above
and
• they have satisfied the relevant Faculty/Institute that they have exhibited academic
potential through extensive field work, subsequent research experience and/or
additional training.
(iii) Candidates for Masters Degree by thesis should in addition to the above have
extensive or rich experience in research in the area of study.
 
Mimi nipo kanda ya ziwa kwa muda mwingi

Kanda ya ziwa kubwa.

Namaanisha kuwa km ungekuwa mz ungesoma Saut wanafundisha evening kuanzia saa 16:45

Bt km upo interested na OUT well ila what I know kila mkoa nahisi wana ofisi zao.

I declare interest nipo Saut nasoma hiyo course
 
Kanda ya ziwa kubwa.

Namaanisha kuwa km ungekuwa mz ungesoma Saut wanafundisha evening kuanzia saa 16:45

Bt km upo interested na OUT well ila what I know kila mkoa nahisi wana ofisi zao.

I declare interest nipo Saut nasoma hiyo course

Stop confusing him bhana, SAUT ya nini hapo sasa? what he wants ni kusomea MBA - OUT. Anyway, kwa nchi hii, Public Universities like UDSM, SUA, Mzumbe, Ardhi, Muhimbili, OUT inclusive etc, ni bora zaidi kuliko vyuo vya Private kama SAUT, Tumaini Makumira na St. na nii zote
 
Stop confusing him bhana, SAUT ya nini hapo sasa? what he wants ni kusomea MBA - OUT. Anyway, kwa nchi hii, Public Universities like UDSM, SUA, Mzumbe, Ardhi, Muhimbili, OUT inclusive etc, ni bora zaidi kuliko vyuo vya Private kama SAUT, Tumaini Makumira na St. na nii zote

Samahani.
 
Stop confusing him bhana, SAUT ya nini hapo sasa? what he wants ni kusomea MBA - OUT. Anyway, kwa nchi hii, Public Universities like UDSM, SUA, Mzumbe, Ardhi, Muhimbili, OUT inclusive etc, ni bora zaidi kuliko vyuo vya Private kama SAUT, Tumaini Makumira na St. na nii zote

Well said
 
Vip kwa mkoa wa lindi wapendwa,nataka kujsajili kwa shahada ya ualimu lakn kwa mtandao hakuna taarifa za kina
 
Okay,nenda kwa ofis zao watakupa mwongozo mzuri mimi nimefanya med in apps last year nimemaliza,wanakupa course outline na list ya vitabu,kazi kwako kusoma,muda inategemea na speed yako kumaliza unit

Samahani naomba unijuze kuhusu boom kwa koz kama energy resources wanatoa au vp
 
Back
Top Bottom