MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,870
- 6,255
Nimesoma undergraduate mzumbe but siwezi kurudi master hata iweje, hata hapo udsm siwezi kusoma hata iweje, masters za kibongo wizi tu na umaskini ndo unasababisha tubishane kulinganisha hivyo vyuo wakati ukweli unajulikana hakuna kitu, kitu mwakan nikale masters yangu duniani huko hata kama unalipa xul fees unapata value for money