Kaka nilikuwa airtel na nilienjoy sana kabla hawachomoa baadhi ya vifaa vya kuongezea spidi ya Internet na kuvihamishia Kakola mgodiniPersonal matumiz yangu yote ya simu yamebase kwenye tigo.. Ila kiuhalisia AIRTEL ndo the best affordable network.. Airtel ina gharama ndogo na vifurush vyake ni vimejitosheleza sana... Try airtel.. Alaf kama upo dar nenda pale SURVEY chuoni mliman nenda pale kachukue vocha ya airtel ya mwezi 6000/= au ya wiki 1500/= lazima utaleta mrejesho...
Naandika huu uzi si kwania ya kuwaharibia Vodacom biashara hapana. Niko Vodacom tangu 2003 hadi leo hii.
Kipindi airtel wakiwa na internet zuri nilitumia Vodacom kwa mawasiliano pamoja na huduma ya Mpesa. Sasa karibia mwaka mzima (nasikia kuna kifaa Airtel walikiondoa kwenye mnara wao na kuupeleka Kakola ili kuvutia wateja wengi wa internet kutoka hapa kwetu).
Tangu hapo nimekuwa nanunua vufurushi vya Vodacom lakini amini hawa Vodacom mb zao zinaisha katika mazigira ya kutatanisha (chuma ulete). Leo kaja baba mmoja japo amelewa lkn kanifuata kuniuliza kuwa hivi MB huwa zinatofautiana!?
Voda nimeshindwa kabisa kuwavulia........... Jaribuni jamani kunielewesha ukizigatia mie si mtalaamu sana kama wanaume wa Dar.
NB: changieni haraka haraka kabla mods na ngenge lake hawajaufuta uzi huu.
na mb ngapi...Personal matumiz yangu yote ya simu yamebase kwenye tigo.. Ila kiuhalisia AIRTEL ndo the best affordable network.. Airtel ina gharama ndogo na vifurush vyake ni vimejitosheleza sana... Try airtel.. Alaf kama upo dar nenda pale SURVEY chuoni mliman nenda pale kachukue vocha ya airtel ya mwezi 6000/= au ya wiki 1500/= lazima utaleta mrejesho...
Kwa sh 1500:: dakika 145 airtel-Airtet, dakika 5 mitandao yote, sms bila kikomo, internet 1gb kwa wiki.hiyo inakuwa na dakika
na mb ngapi...
asante kwa ufafanuzi mkuu ila naomba kuuliza tena inapatikana wapi vocha hiyo...???Kwa sh 1500:: dakika 145 airtel-Airtet, dakika 5 mitandao yote, sms bila kikomo, internet 1gb kwa wiki.
Ile ya 6000: ni 4gb,sms bila kikomo,dakika 500 airtel to airtel nadhan na dakika 20 mitandao yote kwa mwezi
Binafsi nazinunuliaga pale kituo cha daladala SURVEY chuo kikuu cha UDSM , ukipanda daladala zinazopita chuo unashukia kituo cha survey darajani.. Maduka yote ya hapo yanauza.. Au kama una washkaj udsm unaweza waagiza.. Alaf pia kuna babu pale geti la kuingilia mlimani city upande wa mbele/linaloangaliana na nssf kuna babu anauza..asante kwa ufafanuzi mkuu ila naomba kuuliza tena inapatikana wapi vocha hiyo...???
asante mzee mwenzangu ubarikiwe sanaBinafsi nazinunuliaga pale kituo cha daladala SURVEY chuo kikuu cha UDSM , ukipanda daladala zinazopita chuo unashukia kituo cha survey darajani.. Maduka yote ya hapo yanauza.. Au kama una washkaj udsm unaweza waagiza.. Alaf pia kuna babu pale geti la kuingilia mlimani city upande wa mbele/linaloangaliana na nssf kuna babu anauza..
Aminia mkuu.asante mzee mwenzangu ubarikiwe sana