mwenezi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 506
- 108
moja ya ahadi za mhe.nyerere kwa wapigakurawake ilikuwa ni kuweka tv katika maeneo kadhaa yenye mikusanyiko yawatu,kwa lengo lakuwawezesha kuona matukio mhimu yanayoendelea hasa bunge,pamoja na kuwapunguzia (stress)wawapo kwenye shughuli zao.hizi hapa ni picha zinazo onyesha maandalizi ya ufungaji watv hizo.mb alishakabidhi tv hizo kwa halmashauli mbele ya wafanya biashara wa sokoni.hongera nyerere.