Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,844
Shida ya mfumo mbovu wa nchi hii, mtu akiteuliwa anawaza kuiba pekee badala ya kutumikia jamii
Wanawekwa UVCCM matokeo yake wanaharibu sn nchiSio tu kwenye mwendokasi- tunahitaji serious management inayoweza kusimamia, kuendeleza na kuitunza miundo mbinu yote ya mashirka yote ya umma. Tuna upungufu sana katika makupuni ya uendeshaji (Management firms/organisation) na haya mambo ya kukojoa kwenye sinki hayataisha.
Wachina ndiyo matapeli kabisaKwa Hiyo weweunashauri Treni Yetu isimamiwe na hao wala konokono?
Wachina wa Kenya Wamesimamia kwa sababu wanakusanya Madeni yao kama ambavyo NSSF inafanya pale DARAJA la KIgamboni.
Wanachokiweza ni kuiba tu....!!TANESCO, POSTA, TTCL, Bandari, Mwendokasi karibu vyote vimewashinda
System nzima ni corruptWanachokiweza ni kuiba tu....!!
Kuiba pesa za Umma na Kuiba Kura.