Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 207
Namkubali sana JK lakini lazima penye dosari tuseme.
Tunajenga daraja kigamboni kwa zaidi ya bilioni 100, barabara ujenzi mabilioni ya kutosha kila mwaka lakini tunashindwa ku dedicate hata bilioni 10 tununue vitanda wagonjwa wanalala chini kwenye hospitali za serikali !!! na vitanda vilivyopo vina kutu na vimechoka mbaya. Mgonjwa analazwa Muhimbili lakini vipimo regency na Agha Khan. Wagonjwa wanagombania vyakula na mapaka Shume Muhimbili. Kama mgonjwa wako amelepelekwa hospitali huna daktari unayemjua ujue imekula kwenu.
Shame shame Mr President!!
Tunajenga daraja kigamboni kwa zaidi ya bilioni 100, barabara ujenzi mabilioni ya kutosha kila mwaka lakini tunashindwa ku dedicate hata bilioni 10 tununue vitanda wagonjwa wanalala chini kwenye hospitali za serikali !!! na vitanda vilivyopo vina kutu na vimechoka mbaya. Mgonjwa analazwa Muhimbili lakini vipimo regency na Agha Khan. Wagonjwa wanagombania vyakula na mapaka Shume Muhimbili. Kama mgonjwa wako amelepelekwa hospitali huna daktari unayemjua ujue imekula kwenu.
Shame shame Mr President!!