Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
Naandika makala hii kwa masikitiko makubwa sana maana rais wetu anahaha kila siku kuhakikisha nchi yetu inakuwa ya viwanda. Akifanikiwa itasaidia kutuweka huru na hizi bidhaa dhaifu toka nje ya nchi.
Mfano nimenunua maziwa ya unga ya Lato ambayo yanaonyesha yametengenezwa 2016 na kwenye kopo lake yanaonyesha yataharibika 2018.
Cha kusikitisha leo ni 2017 maziwa ukitengenezea chai yanakuwa kama maziwa mgando yaliyowekwa kwenye maji moto. Nimeyahifadhi ili kuyapeleka TFDA kwa uchunguzi zaidi. Inauma sana sana maana pesa ya shida kweli!
Mfano nimenunua maziwa ya unga ya Lato ambayo yanaonyesha yametengenezwa 2016 na kwenye kopo lake yanaonyesha yataharibika 2018.
Cha kusikitisha leo ni 2017 maziwa ukitengenezea chai yanakuwa kama maziwa mgando yaliyowekwa kwenye maji moto. Nimeyahifadhi ili kuyapeleka TFDA kwa uchunguzi zaidi. Inauma sana sana maana pesa ya shida kweli!