Maziwa ya NIDO siku hizi yakoje? TFDA mmelala?

Nyikanavome

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
482
176
Nimekuwa mtumiaji wa maziwa ya Nido kwa siku nyingi lakini maziwa hayo siku hizi hayayeyuki vizuri, sijui ndio wajanja wameshayaingilia au vipi?

Hapa nilipo nimenunua kopo moja Batch no 82850345AA na kuna namba nyingine sijui ni ya nini lakini inasomeka NL Z0069 EG na yana expire mwezi wa kumi 2010. Ukiyatumia kutengeza chai yaani hayayeyuki yanbaki na viparticles kama umetumia unga wa mahindi vile

Natoa wito kwa TFDA wayachunguze maziwa haya watujulishe wananchi kama yanafaa kwa matumizi au la. Wasitilie mkazo maziwa ya watoto tu, watuangalie na sie wazazi wao.
 
Ebu jiangalie vizuri hamna sehemu umeanza kunenepa nenepa bila kujielewa? Ukiona hivyo ujue Chinese has already established a camp in your home. Ila seroius serikali iwe makini sana na hili jambo otherwise tutakwisha kabla ya Oktoba 2010
 
Mwanangu ana miezi mitatu sasa, tumemwanzishishia wiki moja sasa maziwa ya totolac 1. dogo mafua yamejenga himaya since last week na hayashuki. mtoto wa jirani naye hivyo hivyo lianzishwa totolac hiyo hiyo anaugua mafua mpaka pua zinaziba. ni ya kutoka south afrika.

Sijui kama TFDA wamepiga ban maziwa haya maan yapo tele madukani
 
Nilishaona matatizo ya nido two months ago nimeachana nayo. napiga kavukavu bila maziwa.

Mkuu Nyika kwani hakuna jirani mwenye "moo" wa maziwa?? piga kitu asili kwani hata yakiwekwa maji hayana toxic mwilini
 
Mwanangu ana miezi mitatu sasa, tumemwanzishishia wiki moja sasa maziwa ya totolac 1. dogo mafua yamejenga himaya since last week na hayashuki. mtoto wa jirani naye hivyo hivyo lianzishwa totolac hiyo hiyo anaugua mafua mpaka pua zinaziba. ni ya kutoka south afrika.

Sijui kama TFDA wamepiga ban maziwa haya maan yapo tele madukani
Kaka hongera sana bana. I didnt know this. Huyu ni 1st born au 5th born.
Mpe pole kwa mafua ila kwa dawa zaidi mPM LazyDogy au Arsene Wenger wana dawa kiboko hawa jamaa kwanza za asili
 
Ebu jiangalie vizuri hamna sehemu umeanza kunenepa nenepa bila kujielewa? Ukiona hivyo ujue Chinese has already established a camp in your home. Ila seroius serikali iwe makini sana na hili jambo otherwise tutakwisha kabla ya Oktoba 2010

hahaaa lol!!! waja mna mambo!!! wachina in ze housi!!

and you mpwa wat is so special in 2010??? are you expecting miracles au kuna nini
 
Ebu jiangalie vizuri hamna sehemu umeanza kunenepa nenepa bila kujielewa? Ukiona hivyo ujue Chinese has already established a camp in your home. Ila seroius serikali iwe makini sana na hili jambo otherwise tutakwisha kabla ya Oktoba 2010
deh deh deh gudi edivaizi
 
Mwanangu ana miezi mitatu sasa, tumemwanzishishia wiki moja sasa maziwa ya totolac 1. dogo mafua yamejenga himaya since last week na hayashuki. mtoto wa jirani naye hivyo hivyo lianzishwa totolac hiyo hiyo anaugua mafua mpaka pua zinaziba. ni ya kutoka south afrika.

Sijui kama TFDA wamepiga ban maziwa haya maan yapo tele madukani

Msanii tafadhali tazama gazeti za leo(sikumbuki ni lipi) TFDA wametaja maziwa yanayofaa kwa watoto mengine jamani mtawasababishia watoto matatiz ya kudumu mishani!!! kuna na list wametoa ambayo katu hayakidhi viwango!!

scary!!! mtoto mafua hayaishi!! usifanye masihara
 
hahaaa lol!!! waja mna mambo!!! wachina in ze housi!!

and you mpwa wat is so special in 2010??? are you expecting miracles au kuna nini
bht unaongea kiingereza kikali? wee acha tu! (sore mtoa mada)
 
General election dada

kwani matokeo hujayajua tu??? (sore off topik) subiri miujiza mwaya Sipo!! usinifate mi mwenzio thiatha hizi hatuivagi chungu moja (mmoja wetu anatoka ka ngararimo)
 
Msanii tafadhali tazama gazeti za leo(sikumbuki ni lipi) TFDA wametaja maziwa yanayofaa kwa watoto mengine jamani mtawasababishia watoto matatiz ya kudumu mishani!!! kuna na list wametoa ambayo katu hayakidhi viwango!!

scary!!! mtoto mafua hayaishi!! usifanye masihara
Mkuu huwa nanunua copy ya mwanachi je wametoa gazeti gani??
ila kwa ukarimu pls niorodheshee hayo maziwa ili niende kuyamwaga totolac nirudipo gheto leo
 
kwani matokeo hujayajua tu??? (sore off topik) subiri miujiza mwaya Sipo!! usinifate mi mwenzio thiatha hizi hatuivagi chungu moja (mmoja wetu anatoka ka ngararimo)
hahahahahha umenikumbusha home wewe Ngararumu a.k.a Makukuru. Chakula kitamu sana kile ila inabidi kuwa na water otherwise
 
Mkuu huwa nanunua copy ya mwanachi je wametoa gazeti gani??
ila kwa ukarimu pls niorodheshee hayo maziwa ili niende kuyamwaga totolac nirudipo gheto leo

nilisikilza kwenye kuperuzi ndo tatizo ila list haikutaja totolack for sure!!! ngoja nicheck nuz paper zangu hapa ka ipo list ntakupa
 
Kaka hongera sana bana. I didnt know this. Huyu ni 1st born au 5th born.
Mpe pole kwa mafua ila kwa dawa zaidi mPM LazyDogy au Arsene Wenger wana dawa kiboko hawa jamaa kwanza za asili
hahahaha ni festiboni mkuu.
Lazydog ni mganga nguli kutoka nijeria?? maana nimeona banners kila kona dar kuhusu mganga kiboko kutoka naijeria....
anyway nitawapm kuangalia ushauri watakaonipa thanks mkuu
 
hahahahahha umenikumbusha home wewe Ngararumu a.k.a Makukuru. Chakula kitamu sana kile ila inabidi kuwa na water otherwise


hahaaaaa! nasepa sipo!! naenda kumtafutia msanii listi ya maziwa ya mtoto asije akatuumizia kashangazi. afu mwambie akupe unitumie no ya simu ntamtext!
 
Msanii na mie nilisikia hiyo list ya maziwa ya watoto kwenye redio, nakumbuka aina moja au mbili zilizofikia kiwango; Lactogen 1, Lactogen 2 namba inatemea umri wa mtoto, na Cowbell, kulikuwa na mengine ila siyakumbuki.
 
Msanii na mie nilisikia hiyo list ya maziwa ya watoto kwenye redio, nakumbuka aina moja au mbili zilizofikia kiwango; Lactogen 1, Lactogen 2 namba inatemea umri wa mtoto, na Cowbell, kulikuwa na mengine ila siyakumbuki.
Shida ni kwamba hiyo lactogen ni ya afrikakusini lakini dogo mafua ndo yamejenga kilinge kwake. Namsubiri BHT anijuze maana akili yangu imefulia sasa
 
Back
Top Bottom