If nakumbuka vizuri, kwa mfano unataka nusu lita, chukua nusu lita ya maziwa, ichemshe kwanza, then weka kando.Unayachanganyaje
Maziwa plain ya ng'ombe hua yana protein content kubwa sana ambayo tumbo la mtoto mdogo hua haliwezi kudigest. So ukiwa unampa yalivyo bila kuchanganywa hua anaanza kuharisha na sometimes anakua anapata kama allergic reactions.Na yanaweza kusababisha matatizo gani kwa mtoto