Maziwa fresh ya ng'ombe

Maziwa fresh ya ng'ombe

Dubs

Member
Joined
Jul 6, 2009
Posts
17
Reaction score
2
​Maziwa fresh ya ng'ombe yanapatikana DSM. Lita 300 - 400 kwa siku. Kama unahitaji tuwasiliane.
 
mbona hujaweka contact zako na unapatikana wapi
 
hiyo ni bei kwa lita ama!!!
Ni namba ya simu mkuu. Lita ni Tsh. 1500. Kama utachukua kuanzia lita 100 basi bei inapungua kidogo. Hii ni huduma ya kila siku.
 
Ni namba ya simu mkuu. Lita ni Tsh. 1500. Kama utachukua kuanzia lita 100 basi bei inapungua kidogo. Hii ni huduma ya kila siku.

Shukran mkuu maana nilistuka sana.
 
Kama unataka kufanya biashara kubwa ya lita 100 na zaidi nunua kipimo cha kupima kiasi cha maji kwenye maziwa.

hata kama ni kwa mahitaji ya nyumbani tu, ni muhimu kuwa na kipimo hicho kama unanunua maziwa kutoka kwa vendor, wengi ni wachakachuaji and you never know what you are feeding your kids.
 
Back
Top Bottom