Heshima za mwisho zinaendelea.
Pasco ni mmoja wa wanafunzi wa marehemu, alimfundisha UDSM, na anadai alikuwa mwalimu aliyonekana kwa wengu kuwa 'very fair'. Alibahatika kukutana naye Dodoma mwezi Aprili na walikaa Dodoma Hotel pamoja na Dr. Mwakyembe.
Wakiwa katika maongezi, Dr. Mwakyembe aliwambia kuwa maisha yake mwenyewe (Mwakyembe) yapo hatarini kwani kuna assassin alikuwa amelipwa kuhakikisha anamtoa roho lakini huyo mtu baadae aliingiwa na 'roho ya huruma' akaenda kwake Mwakyembe na ku-confess. Aliwambia kuwa alilazimika kusambaza taarifa hizo panapohusika na kuwambia kuwa chochote kitakachotokea basi wasishtuke kwani kuna mpango dhidi yake umepangwa. Prof. Jwan (marehemu) alimpinga na kusema "Death is always a surprise, as long as none can anticipate death".
Heshima za mwisho zinaendelea, kuna watu wengi sana